Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,787
Bro kwema? Hivi ilikuaje mpaka lile jukwaa pendwa linafutwa na wewe unatazama tu? Yaani kukosekana lile jukwaa tunakosa mambo mengi sana! Hakuna namna tunaweza kumvaa Max aturudishie jukwaa letu?aisee konda kama umeishiwa na bundle useme