Unavyosema wanawake jua unamjumuisha na mama yako
Ndio,ni pamoja na mama zetu.Nadhani huu ni ukweli wa kiuumbaji na kiasilia kwa wanawake wote,hadi malkia nkUnavyosema wanawake jua unamjumuisha na mama yako
mi naona huu ni unyanyasaji wa kijinsia. ina maana wanawake common sense ni kiduchu hivi. halafu trouble production inadominate, na sisi akina baba tunaolewa tunarudi usiku na kutapikia mashuka?