Jinsi mabenki yanavyonyonya na kuleta umaskini

Jinsi mabenki yanavyonyonya na kuleta umaskini

Mkuu Marekani wanachapa Federal Reserve Bank ambayo ni private institution,Uingereza Bank of England ambayo pia ni private institution!

in
Nimesema hii kitu haifundishwi shuleni!Marekani wanachapa Federal Reserve Bank,Uingereza nako wanachapa Bank of England ambayo nayo ni private institution .Hata hivyo mimi siongelei mfumo wa Tanzania,naongelea mfumo mpana wa dunia.
Achana na conspirators mkuu,

8be460e58fd2f322e00271ffa49bb85b.jpg


Hayo ni maneno tu ya baadhi ya watu wanaotaka kuleta msuguano kati ya serikali na watu wake.

Kitu ishaitwa federal unasema ni private?unajua kwamba Marekani ni nchi ya federation na kila kitu taasisi iliyo chini ya serikali kuu hua na neno "federal"?

Eti havifundishwi shuleni,vipi wanafundishia wapi?YouTube?
 
Na wewe unakubaliana na alicholeta mleta mada?

Watanzania ni rahisi sana kulishwa Ujinga!um

Vitu kama hamuvijui ni bora mviache kama vilivyo.
Mkuu nimezungumzia mfumo mpana wa dunia,sio Tanzania per se.Mkuu dola inachapwa na Federal Reserve Bank ambayo ni private institution ,£ ya Uingereza nayo inachapwa na Bank of England ambayo nayo ni private institution.Mkuu soma references nilizoweka usibishe tu.Hivi vitu ni taboo kwa hiyo havifundishwi shuleni.
 
Hi mchumi kutoka kolomije naomba niulize swali, kama benki zinapewa leseni ya kuchapa fedha zake nini kazi ya BOT katika hilo, na kwa nini Twinga Bank hivi karibuni ilikubali kufa kifo cha mende wakati kuna option hiyo?
Wewe ni Dr. wa darasani mkuu.Hivi vitu ni taboo havifundishwi darasani,ni lazima uvitafute.Halafu wewe unaongelea ka-local bank ambako effect yake kwenye mfumo mzima wa dunia is very limited.That is not what I am talking about.
 
Achana na conspirators mkuu,

8be460e58fd2f322e00271ffa49bb85b.jpg


Hayo ni maneno tu ya baadhi ya watu wanaotaka kuleta msuguano kati ya serikali na watu wake.

Kitu ishaitwa federal unasema ni private?unajua kwamba Marekani ni nchi ya federation na kila kitu taasisi iliyo chini ya serikali kuu hua na neno "federal"?m

Eti havifundishwi shuleni,viipi wanafundishia wapi?YouTube?
Mkuu "establishment"haimaanishi moja kwa moja kwamba ni mali ya serikali.Kwa Marekani au Israel kwa mfano huwezi kumtofautisha Rothschild na serikali!Na hata hivyoo,Marais mbalimbali wa Marekani wamekiri kwamba Federal Reserve ni private institution,who are you to say it is not.
 
Nazungumzia mfumo wa dunia kwa ujumla.Ndio maana sijataja Tanzania.Marekani dola inachapwa na Federal Reserve Bank ambayo ni private institution.
Mkuu, hicho ulichokiandika una uhakika nacho?, kuwa federal reserve bank ni privately owned bank in America?. Je unajua mfumo wa federal reserve bank ya marekani inavyofanya kazi na iko chini ya utaratibu upi.

Narudia tena jiongezee maarifa. Mfano mdogo tu kwa hapa kwetu, Benki kuu ya taifa ndiye msimamizi mkuu wa mabenki nchini. Ndiyo benki inayo angalia mzunguko wa fedha nchini, ndiyo benki yenye mamlaka ya ku "issue" notes na coins zote tunazo tumia nchini.

Pia kuna mambo mengine ya kujifunza. Inawezekana kabisa ni kweli mabenki yanapata faida kubwa kutokana na huduma wanazo zitoa. Ila tunapaswa tujue pia benki ni lazima iwe na mtaji. Hamna benki inayoanzishwa kwa kutegemea eti tutapata mtaji au fedha za kukopesha pindi tutakapo anza pokea deposits.

Ni muhimu kujua kwamba benki nazo huko kutoka mabenki mengine makubwa. Na wanapo kopeshwa fedha hizo hutolewa kwa riba/cost of fund. Haya mabenki wanapo ziingiza fedha hizi kwenye mzunguko kwa njia ya mikopo basi hupanga riba kwa kuangalia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na cost of fund iliyokuwa incurred kupata fedha hiyo, pia huangalia maswala ya mfumuko wa bei/inflation, na pia huweka faida.

Pia sehemu ya fedha hutoka kwa wananchi ambao kimsingi wao huweka akiba. Na akiba zinazo zungumziwa hapa ni zile fixed deposits na zifananazo na hizo. Wamiliki wa akaunti hizi hupata faida kutokana na fedha ambazo wao wameweka benki na benki wanatumia kukopesha.

Pia benki yaweza ongeza mtaji kwa kupitia kuuza hisa kwenye soko la hisa. Hii huifanya benki iweze kukuza mtaji na faida itakayo patikana katika shughuli za kila siku za kibenki basi kuja kugawiwa kwa wananchi walio wekeza mitaji yao, gawio hili hufanyika kwa kuangalia pia mambo mbalimbali.

Ni kweli riba zaweza kuwa juu kwa mabenki hapa nchini na kuwaumiza wananchi, lakini twapaswa pia tujielimishe kwa kile tunacho kuja kuandika humu. Tuangalie tusije fanya upotoshaji kwa mambo yaliyo wazi kabisa.
 
Nimegundua watanzania wengi tena wasomi wana uelewa mdogo sana katika maswala ya fedha, masoko na uwekezaji
Na ndio maana watu wengi wanatumia muda mrefu kujadili siasa. Fedha, uchumi, uwekezaji na masoko atuelewi chochote na ndio maana hata serikali na watu wengi tumeshindwa hata kujitangaza kimataifa katika nyanja za utalii na vitu vinginevyo vingi
 
Mkuu, hicho ulichokiandika una uhakika nacho?, kuwa federal reserve bank ni privately owned bank in America?. Je unajua mfumo wa federal reserve bank ya marekani inavyofanya kazi na iko chini ya utaratibu upi.

Narudia tena jiongezee maarifa. Mfano mdogo tu kwa hapa kwetu, Benki kuu ya taifa ndiye msimamizi mkuu wa mabenki nchini. Ndiyo benki inayo angalia mzunguko wa fedha nchini, ndiyo benki yenye mamlaka ya ku "issue" notes na coins zote tunazo tumia nchini.

Pia kuna mambo mengine ya kujifunza. Inawezekana kabisa ni kweli mabenki yanapata faida kubwa kutokana na huduma wanazo zitoa. Ila tunapaswa tujue pia benki ni lazima iwe na mtaji. Hamna benki inayoanzishwa kwa kutegemea eti tutapata mtaji au fedha za kukopesha pindi tutakapo anza pokea deposits.

Ni muhimu kujua kwamba benki nazo huko kutoka mabenki mengine makubwa. Na wanapo kopeshwa fedha hizo hutolewa kwa riba/cost of fund. Haya mabenki wanapo ziingiza fedha hizi kwenye mzunguko kwa njia ya mikopo basi hupanga riba kwa kuangalia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na cost of fund iliyokuwa incurred kupata fedha hiyo, pia huangalia maswala ya mfumuko wa bei/inflation, na pia huweka faida.

Pia sehemu ya fedha hutoka kwa wananchi ambao kimsingi wao huweka akiba. Na akiba zinazo zungumziwa hapa ni zile fixed deposits na zifananazo na hizo. Wamiliki wa akaunti hizi hupata faida kutokana na fedha ambazo wao wameweka benki na benki wanatumia kukopesha.

Pia benki yaweza ongeza mtaji kwa kupitia kuuza hisa kwenye soko la hisa. Hii huifanya benki iweze kukuza mtaji na faida itakayo patikana katika shughuli za kila siku za kibenki basi kuja kugawiwa kwa wananchi walio wekeza mitaji yao, gawio hili hufanyika kwa kuangalia pia mambo mbalimbali.

Ni kweli riba zaweza kuwa juu kwa mabenki hapa nchini na kuwaumiza wananchi, lakini twapaswa pia tujielimishe kwa kile tunacho kuja kuandika humu. Tuangalie tusije fanya upotoshaji kwa mambo yaliyo wazi kabisa.
Nina hakika na nilichoandika mkuu.Soma reference nilizoweka.Hata Marais mbalimbali wa Marekani wamekiri ukweli huu.Halafu mimi nimezungumzia a wider world, sio Tanzania.Kama sisi Tanzania tunachapa hela yetu hachapi Rothschild ambaye ndiye anayechapa kwenye nchi nyingi basi ni vizuri, because than we have a better control of our economy.
 
in
Nimesema hii kitu haifundishwi shuleni!Marekani wanachapa Federal Reserve Bank,Uingereza nako wanachapa Bank of England ambayo nayo ni private institution .Hata hivyo mimi siongelei mfumo wa Tanzania,naongelea mfumo mpana wa dunia.
Naomba utupe link zinazo onyesha wazi kuwa Federal Reserve Bank is a privately owned institution. Ule ni mfumo mkuu, nenda kasome vizuri historia ya Federal Reserve Bank alafu utatuambia. Ukiangalia tu kwenye wikipedia kuna mahali wanasema ufanyaji kazi wa Federal Reserve Bank unaonekana kama ni wa taasisi binafsi na hivyo kuleta confusions/kutokueleweka.


Mkuu Marekani wanachapa Federal Reserve Bank ambayo ni private institution,Uingereza Bank of England ambayo pia ni private institution!
 
Mkuu "establishment"haimaanishi moja kwa moja kwamba ni mali ya serikali.Kwa Marekani au Israel kwa mfano huwezi kumtofautisha Rothschild na serikali!Na hata hivyoo,Marais mbalimbali wa Marekani wamekiri kwamba Federal Reserve ni private institution.
The Fed - FAQs

Naomba upitie hiyo link. Soma kwa makini kisha utufafanulie mkuu kuhusu owner wa federal reserve bank na purpose ya kuanzishwa ilikuwa ni ku serve interests za kina nani kwa ujumla wake
 
Naomba utupe link zinazo onyesha wazi kuwa Federal Reserve Bank is a privately owned institution. Ule ni mfumo mkuu, nenda kasome vizuri historia ya Federal Reserve Bank alafu utatuambia. Ukiangalia tu kwenye wikipedia kuna mahali wanasema ufanyaji kazi wa Federal Reserve Bank unaonekana kama ni wa taasisi binafsi na hivyo kuleta confusions/kutokueleweka.
Google "Who owns the Federal Reserve Bank"mkuu utapata links nyingi sana.
 
Nina hakika na nilichoandika mkuu.Soma reference nilizoweka.Hata Marais mbalimbali wa Marekani wamekiri ukweli huu.Halafu mimi nimezungumzia a wider world, sio Tanzania.Kama sisi Tanzania tunachapa hela yetu hachapi Rothschild ambaye ndiye anayechapa kwenye nchi nyingi basi ni vizuri, because than we have a better control of our economy.
Nimetoa link naomba uipitie. Ninacho kiona hapa ni mambo ya conspiracy theories ndiyo unayazungumzia sana. Hizi theories ziko kila mahali mkuu, kwa kila field unayoijua wewe, kwanzia dini, fedha, siasa etc. Na tunazijua na kuzisoma, nadhani ndipo ulipo kimbilia kituambia kuwa hayafundishwi shuleni.

Pia ni ajabu sana kutuambia huzungumzii kwa hapa nyumbani bali mfumo mzima wa kifedha duniani. Kiuchambuzi, kama mfumo wa fedha unao endesha dunia uko hivyo kwanini unadhani hapa kwetu hapako hivyo kama ulivyo kana hapo juu?. Je ni kweli kwamba mabenki ya Tz yananyonya watu kupitia riba?, je ni kweli kuwa wanakopesha out of nothing?, na je ni kweli wana hizo leseni kama unavyo sema?.

Kama ni hapana embu tueleze ni kwanini sisi kama nchi hatuathiriwi na hiyo theory yako uliyo tuletea. Mkuu kwenye mitandao kuna mengi sana, you should be careful kujua kipi ni sawa au lah. Watu wanaandika vya ukweli na uongo pia, wewe umetumia nini kupima uliyo yasoma ili tuweze basi kukuamini
 
The Fed - FAQs

Naomba upitie hiyo link. Soma kwa makini kisha utufafanulie mkuu kuhusu owner wa federal reserve bank na purpose ya kuanzishwa ilikuwa ni ku serve interests za kina nani kwa ujumla wake
Mkuu Fed as an Institution can never say the Fed is a private institution,ingawa some in private do.Infact Fed wenyewe wameshaanza kutoa ukweli kiasi fulani.Wanakiri sasa kwamba it is an "Autonomous Institution",but even that is half truth. Mkuu hata kabla sijasoma najua watakachosema FED.Google"Who owns the Federal Reserve Bank" ili upate ukweli from outside the Fed.
 
Nimetoa link naomba uipitie. Ninacho kiona hapa ni mambo ya conspiracy theories ndiyo unayazungumzia sana. Hizi theories ziko kila mahali mkuu, kwa kila field unayoijua wewe, kwanzia dini, fedha, siasa etc. Na tunazijua na kuzisoma, nadhani ndipo ulipo kimbilia kituambia kuwa hayafundishwi shuleni.

Pia ni ajabu sana kutuambia huzungumzii kwa hapa nyumbani bali mfumo mzima wa kifedha duniani. Kiuchambuzi, kama mfumo wa fedha unao endesha dunia uko hivyo kwanini unadhani hapa kwetu hapako hivyo kama ulivyo kana hapo juu?. Je ni kweli kwamba mabenki ya Tz yananyonya watu kupitia riba?, je ni kweli kuwa wanakopesha out of nothing?, na je ni kweli wana hizo leseni kama unavyo sema?.

Kama ni hapana embu tueleze ni kwanini sisi kama nchi hatuathiriwi na hiyo theory yako uliyo tuletea. Mkuu kwenye mitandao kuna mengi sana, you should be careful kujua lkipi ni sawa au lah. Watu wengi gi wanaadi vya ukweli na uongo pia, wewe uMametumiraa nini kupima uliyo yasoma ili tuweze basi kukuamini
Sio website moja yenye ukweli huo,ni nyingi,surely all can't be wrong.
 
Google "Who owns the Federal Reserve Bank"mkuu utapata links nyingi sana.
Nimekupa link ya Federal Reserve system hapi. Trusted link, soma hiyo. Mitandaoni kila mtu anaweza andika mkuu. Soma hizo utuueleze nini wanamaanisha.

Ukiona nimekupa hadi link ujue najua kugoogle hicho unacho niambia, ila nakupa kile kinacho "hold water" kwa mada iliyo mezani mkuu
 
Mkuu Fed wenyewe can never say the Fed is a private institution.Hata kabla sijasoma najua watakachosema.Google"Who owns the Federal Reserve Bank" ili upate ukweli from outside the Fed.
Basi naona tunatofautiana kile tunaamini mkuu. Unaamini katika conspiracy theories without questioning. Wengine tunazisoma na kujaribu pia compare na other sources then tunaamini kwa namna hiyo. So kama feds bank hawajasema usemalo wewe, wewe una uhakika gani na usemacho?. Kumbuka wewe sio mfanyakazi wala founder wa hizo banks.

Kinyume na hapo utuambie hili ni swala la kiimani mkuu.
 
"I believe that banking institutions are more dangerous than standing armies...
If the american people will ever allow private banks to control the issue of currency... the banks and corporations that will grow around them will deprive the people of their own property until their children wake up homeless in the continent their fathers conquered"
~ Thomas jefferson
1743-1826
"If you want to remain slave of the bankers and pay for the costs of your own slavery, let them continue create money and control the nation's credit"
~ sir josiah stamp
1880-1941
 
Wakuu,
Mimi naona hapa aliyeanzisha uzi, makala hii ilikuwa ktk lugha ya kigeni na usipokuwa makini ukifanya tafsiri ya Kiswahili unapoteza maana na dhima nzima ya makala hii iliyokuwa ktk lugha ya kigeni.

Pia bank financial management (banking finance) ni utalaamu unaoupata kwa kusomea au kufanya kazi kwa muda mrefu ktk taasisi za kifedha na mabenki huku ukipata mafunzo kazini.

Sasa Mdau areafiftyone pamoja na nia yake nzuri ya kufanya tafsiri toka kugha ya kigeni kuja Kiswahili ktk uzi wake ametuchanganya na kuzua maswali mengi sana. Kufanya tafsiri inatakiwa kutulia na kuchukua muda pamoja na kuwa na uelewa wa kitaalamu ili tafsiri isipoteze maana ya makala halisi hasa ikiwa ni makala za utaalamu kama hii ili wasomaji waelewe tunachowasilisha.
 
Back
Top Bottom