Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
- Thread starter
- #21
😂😂😂😂 hapana usalama wa Taifa kwa A students kunawasaidia kufanya uja sisi wa sayansi na tekinolojia za mataifa yaliyoendelea na kupanga mikakati ya kusogeza Taifa kuliko lilipo lifike huko.Wanafunzi A wanatakiwa wafanye uvumbuzi wa kiteknolojia.
-Kama wapo kwenye kilimo wagundue vifaa vya kilimo.
- Chemist atugundulie dawa za magonjwa sugu.
Sasa mwaafunzi kapata A ya physics unampeleka usalama wa Taifa kuwa mmbea wa kupeleleza viongozi wa upinzani.
Hivi ndiyo walivyofanya China. Kwa muda mrefu walichunguza uchumi wa Marekani, Ujerumani na hata Uingereza na wao wakapanga mikakati yao.
