Jinsi Katiba inavyoiumbua CHADEMA

Jinsi Katiba inavyoiumbua CHADEMA

Lisu anawaingiza mkenge.





Nimeanza kukuuliza hapa nipe ibara aliyotumia rais kupiga marufuku mikutano ya kisiasa, hujanipa.
Ukinipa ibara hiyo, nitakupa aliyoivunja Magufuli.
Unaweza kunipa ibara hiyo?





UMEMJIBU HUYO JAMAA HAPO.
 
Ibara ya 30(1) inaeleza nini na wewe unachofafanua nini? Soma uelewe ndio utupe elimu na tusioelewa!
 
Nimeanza kukuuliza hapa nipe ibara aliyotumia rais kupiga marufuku mikutano ya kisiasa, hujanipa.
Ukinipa ibara hiyo, nitakupa aliyoivunja Magufuli.
Unaweza kunipa ibara hiyo?





UMEMJIBU HUYO JAMAA HAPO.
Sasa wewe unayedai rais kavunja katiba unatakiwa ueleze kavunja ibara ipi.
 
Sasa wewe unayedai rais kavunja katiba unatakiwa ueleze kavunja ibara ipi.


Nani kaleta upupu na upuuzi wa mavifungu ya katiba? nani kaanzisha thread ya hayo matakataka uliyoyajaza hapa?


umejaza maupupu ajabu hakuna hata kifungu japo cha ka mstari kamoja kanakompa mtukufu kufuta mikikutano ya kisiasa wanasheria wakikwambia kuna kitu hakipo sawa elewa sio unakimbilia kukop vifungu vya katiba as if mwanasheria wakat mwenye fani anatoka jasho mwanasheria mkuu.



we huogopi mwanasheria wa serikali kaishia kulijadili neno ukuta na sio mamlaka ya rais kufuta mikutano ya kisiasa ajabu wamejificha nyuma ya polisi kama mtoto mdogo anavyojificha kwenye gauni la mama yake.
 
Nani kaleta upupu na upuuzi wa mavifungu ya katiba? nani kaanzisha thread ya hayo matakataka uliyoyajaza hapa?


umejaza maupupu ajabu hakuna hata kifungu japo cha ka mstari kamoja kanakompa mtukufu kufuta mikikutano ya kisiasa wanasheria wakikwambia kuna kitu hakipo sawa elewa sio unakimbilia kukop vifungu vya katiba as if mwanasheria wakat mwenye fani anatoka jasho mwanasheria mkuu.



we huogopi mwanasheria wa serikali kaishia kulijadili neno ukuta na sio mamlaka ya rais kufuta mikutano ya kisiasa ajabu wamejificha nyuma ya polisi kama mtoto mdogo anavyojificha kwenye gauni la mama yake.
Sasa unamwimbia nani taarabu? Wewe nimekuambia unipe ibara kwenye katiba inayohusu vyama vya siasa kufanya mikutano. Vilevile nikakwambia unipe ibara ipi kwenye katiba rais kakiuka.
Halafu uniambie ni wapi katiba imesema kuandamana.

Nimekuwekea kifungu kwa kukusaidia tu kwamba Lisu anawaingiza mkenge. Nimekuwekea utaratibu ulivyo kikatiba kama unaona katiba inavunjwa unaenda mahakamani kitendo ambacho Lisu hataki kufanya.

Sasa wewe hapa unakuja kuyap yap maneno hewa tu.
Leta kifungu kwenye katiba kinachokupa huo uhuru wa kufanya mikutano sio kulia lia tu.
 
Sasa unamwimbia nani taarabu? Wewe nimekuambia unipe ibara kwenye katiba inayohusu vyama vya siasa kufanya mikutano. Vilevile nikakwambia unipe ibara ipi kwenye katiba rais kakiuka.
Halafu uniambie ni wapi katiba imesema kuandamana.

Nimekuwekea kifungu kwa kukusaidia tu kwamba Lisu anawaingiza mkenge. Nimekuwekea utaratibu ulivyo kikatiba kama unaona katiba inavunjwa unaenda mahakamani kitendo ambacho Lisu hataki kufanya.

Sasa wewe hapa unakuja kuyap yap maneno hewa tu.
Leta kifungu kwenye katiba kinachokupa huo uhuru wa kufanya mikutano sio kulia lia tu.




soma post namba #34 ushawekewa halafu uje na hicho kifungu cha katiba kinachompa mamlaka mtukufu kufuta mikutano ya kisiasa lazima uone taarabu mana hakuna mahali ambapo unapojua wewe mtukufu kapewa mamlaka ya hiyo.
 
soma post namba #34 ushawekewa halafu uje na hicho kifungu cha katiba kinachompa mamlaka mtukufu kufuta mikutano ya kisiasa lazima uone taarabu mana hakuna mahali ambapo unapojua wewe mtukufu kapewa mamlaka ya hiyo.
Wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi.
Hapa nimekuwekea ibara nyingi tu kutoka kwenye katiba. Wewe hapa unakuja unawaya waya kama machela.

Nimekuambia hivi, nipe ibara kutoka kwenye katiba inayo vipa uhuru vyama vya siasa kufanya mikutano. Sasa wewe unakimbia na kuanza kuimba nyimbo na mapambio hewa.

Sasa unapokimbilia kupayuka kuwa rais kavunja katiba inabidi utueleze kavunja katiba ibara ipi.
Thread hii nimeianzisha ili kuonesha ni namna gani chadema invyowadanganya raia kwamba katiba imevunjwa.

Acha uongo wewe. Walio na akiri wameshaelewa ndio maana hamuwezi kutaja ibara ipi inayowaruhusu nyie wanasiasa kufanya mikutano kwasababu haipo.
 
Mimi naona mtoa post ndo mara yake ya kwanza kuisoma katiba kwa hy alipoona hapo tena bila kujua tafsiri ya kisheria akakimbilia Jf. Soma tena alafu urudi humu

Tafsiri ya kisheria maana yake nini inaelekea wewe .tafsiri hiyo itolewe na mwanasheria wa setikali au tundu lissu au mahakama
 
Wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi.
Hapa nimekuwekea ibara nyingi tu kutoka kwenye katiba. Wewe hapa unakuja unawaya waya kama machela.

Nimekuambia hivi, nipe ibara kutoka kwenye katiba inayo vipa uhuru vyama vya siasa kufanya mikutano. Sasa wewe unakimbia na kuanza kuimba nyimbo na mapambio hewa.

Sasa unapokimbilia kupayuka kuwa rais kavunja katiba inabidi utueleze kavunja katiba ibara ipi.
Thread hii nimeianzisha ili kuonesha ni namna gani chadema invyowadanganya raia kwamba katiba imevunjwa.

Acha uongo wewe. Walio na akiri wameshaelewa ndio maana hamuwezi kutaja ibara ipi inayowaruhusu nyie wanasiasa kufanya mikutano kwasababu haipo.




naakala ndefu haafu takataka unajadili au unakop katiba nakuileta hapa jf mahali ambapo watu wanajadili mikutano ya kisiasa ambapo ulitakiwa uje na hizo katiba za vyama vya siasa zinazompa mamlaka mtukufu ya kufuta mikutano unajiita una uwezo wakat unehamisha magoli ndo mana wengi wamekushauli urudi shule upo nje ya mada
 
Wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi.
Hapa nimekuwekea ibara nyingi tu kutoka kwenye katiba. Wewe hapa unakuja unawaya waya kama machela.

Nimekuambia hivi, nipe ibara kutoka kwenye katiba inayo vipa uhuru vyama vya siasa kufanya mikutano. Sasa wewe unakimbia na kuanza kuimba nyimbo na mapambio hewa.

Sasa unapokimbilia kupayuka kuwa rais kavunja katiba inabidi utueleze kavunja katiba ibara ipi.
Thread hii nimeianzisha ili kuonesha ni namna gani chadema invyowadanganya raia kwamba katiba imevunjwa.

Acha uongo wewe. Walio na akiri wameshaelewa ndio maana hamuwezi kutaja ibara ipi inayowaruhusu nyie wanasiasa kufanya mikutano kwasababu haipo.


na jana mwanasheria wako alikuwa na mahojiano na eat tv akizungumzia ukuta fuatilia uone kama kaorodhesha hayo maupupu yako mwenzio kaishia kuomba warud kwa msajili wa vyama vya siasa na kujifichia makatazo ya polisi
 
Ngoja nifike sehemu ili tujadiliane vizuri. Japo umetoa maelezo kutoka kwenye kichwa chako tu bila kutoa references kwenye vifungu vya katiba au sheria.
Huwezi kuijibu katiba kwenye ibara ya 29 na 30 kwa kutoa maelezo tu. Hiyo naweza kusema ni matamanio ya kwamba katiba ingekuwa kama unavyotaka.


Vifungu vyote vya sheria ya polisi vimeweka wazi kabisa na kueleza kwamba malalamiko ya kuhusu kukusanyika yanapelekwa kwa waziri na yeye ndiye anatoa maamuzi ya mwisho.

Sijui kwanini hutaki kuelewa wakati vitu vyote vipo wazi hapa.
Duh! We ni mtu wa ajabu sana! Nimekutajia Ibara zote zinazohusika halafu bado unasema nimetoa kichwani? Hivi hudhani, mathalani mtu akisema Ibara ya 15 (b) unachotakiwa kufanya ni kufungua katiba na kuzisoma hizo ibara ili kujiridhisha? Yaani ulitarajia maibara yote hayo niya-copy na ku-paste hapa?! Ina maana hii ni mara yako ya kwanza kuona that kind of referencing?! By the way, huyo Waziri unayemsema wewe ni yule yule aliyesema hapo zamani walikuwa walikuwa wanatikisa kiberiti cha njiti na sasa ni cha gesi, au?
 
Duh! We ni mtu wa ajabu sana! Nimekutajia Ibara zote zinazohusika halafu bado unasema nimetoa kichwani? Hivi hudhani, mathalani mtu akisema Ibara ya 15 (b) unachotakiwa kufanya ni kufungua katiba na kuzisoma hizo ibara ili kujiridhisha? Yaani ulitarajia maibara yote hayo niya-copy na ku-paste hapa?! Ina maana hii ni mara yako ya kwanza kuona that kind of referencing?! By the way, huyo Waziri unayemsema wewe ni yule yule aliyesema hapo zamani walikuwa walikuwa wanatikisa kiberiti cha njiti na sasa ni cha gesi, au?
Sasa ibara hiyo ndio inayotoa ruhusa vyama vya siasa kufanya mikutano?
 
Sasa ibara hiyo ndio inayotoa ruhusa vyama vya siasa kufanya mikutano?
Wewe ni mzito wa kuelewa au hutaki tu kuelewa! Yaani unaona kabisa nimeandika "mtu akisema, mathalani ibara xyz...!" halafu bado unauliza ikiwa hiyo ndo ibara inayoruhusu maandamano?! Kutokana na hilo, busara inaniongoza nielekee kwenye mijadala mingine waliko wachangiaji wanaoelewa au wapo tayari kuelewa hata kama hapo kabla walikuwa hawaelewi!
 
Wewe ni mzito wa kuelewa au hutaki tu kuelewa! Yaani unaona kabisa nimeandika "mtu akisema, mathalani ibara xyz...!" halafu bado unauliza ikiwa hiyo ndo ibara inayoruhusu maandamano?! Kutokana na hilo, busara inaniongoza nielekee kwenye mijadala mingine waliko wachangiaji wanaoelewa au wapo tayari kuelewa hata kama hapo kabla walikuwa hawaelewi!
Kwanini unalazimisha mtu akuelewe wakati mada iliyopo mezani ni kuhusu ibara ya 29 na 30 ambazo zinatoa limitation ya uhuru na haki?
 
Wewe mbona unajibaragua. Hivi hiyo ibara hapo juu kwenye thread hujaiona au ubishi tu?
Nakutaka wewe ulete ibara inayoipinga hiyo kwamba kuruhusu kufanya mikutano.
Wewe Kiranga leta hapa ibara inayoruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano. Tuanzie hapo. Maana wewe ndiye unayedai haki. Kwamba unadai haki kwa misingi ipi? Leta hiyo ibara kutoka kwenye katiba.
Tatizo lako hujui na unajua kwamba hujui lakini unataka uambiwe kwamba hujui. Nyambaf
 
naakala ndefu haafu takataka unajadili au unakop katiba nakuileta hapa jf mahali ambapo watu wanajadili mikutano ya kisiasa ambapo ulitakiwa uje na hizo katiba za vyama vya siasa zinazompa mamlaka mtukufu ya kufuta mikutano unajiita una uwezo wakat unehamisha magoli ndo mana wengi wamekushauli urudi shule upo nje ya mada
radika hakuna mtu aliye hamisha magoli. Wewe unalazimisha kitu kiwepo wakati hakipo.
 
radika hakuna mtu aliye hamisha magoli. Wewe unalazimisha kitu kiwepo wakati hakipo.


haya sasa tushakuwekea katiba ya vyama inayowapa mamlaka ya kufanya mikutano ya kisiasa,,,,,,,


WEKA IBARA INAYOMPA MTUKUFU KUFUTA MIKUTANO YA KISIASA KWA MAMLAKA ALIYONAYO.
 
Back
Top Bottom