Jinsi hacking ilivyonipa 250,000 tshs leo!!!!!!!!!

Jinsi hacking ilivyonipa 250,000 tshs leo!!!!!!!!!

Wenye site sizizo ingilika hawasemi na wala hawajisifu, kwasababu wanajua hakuna system iliyo kamilika 100%. na 99% inatosha kwa hacker mzuri kupenya.
Watu wanatoboa hadi kwenye site za CIA iweje yako ishindikane>>

namruhusu pia a hack site yangu
Welcome to Joe Nyandigira's Official website. aweke chochote anachotaka ili niamini. nampa mwezi iyo homework. akiweza anidai laki
 
Kuna council ya ethical hacking ipo Mexico,nenda kasome huko,uwe certified hacker,ndo uje na thread yako,na hutakuwa umelipwa hzo,utazungumzia payment ndefu zaidi!
 
Wenye site sizizo ingilika hawasemi na wala hawajisifu, kwasababu wanajua hakuna system iliyo kamilika 100%. na 99% inatosha kwa hacker mzuri kupenya.
Watu wanatoboa hadi kwenye site za CIA iweje yako ishindikane>>

.
Ume m term mwenzako vibaya wewe
.
Hamaanishi kwamba haiingiliki
.
Ila kaungalia uwezo wa shiny c ndo mana kampa kazi hiyo yeye
.
Sio wote
.
.
 
Last edited by a moderator:
Kuna council ya ethical hacking ipo Mexico,nenda kasome huko,uwe certified hacker,ndo uje na thread yako,na hutakuwa umelipwa hzo,utazungumzia payment ndefu zaidi!

.
Zipo nzuri zaid India
.
Niki kuleta home uangalie unaweza kuzimia kwa mshangao,
jinsi maisha yanavyoenda.....
.
.
 
shiny c anamjua? nafikiri haya mambo hayapimwi kwa namna hii...

.
Ume m term mwenzako vibaya wewe
.
Hamaanishi kwamba haiingiliki
.
Ila kaungalia uwezo wa shiny c ndo mana kampa kazi hiyo yeye
.
Sio wote
.
.
 
C++ , mfano ukaamua kuingia katika hiyo site na kuingusha ndani ya hiki kipindi ambacho amempa, Shiny C akija sema yeye ndio ameidondosha utamkataliaje? site yenyewe aliyo iweka sasa ivi haipo hewani

.
Upo sahihi
.
Ila muulize joe mwenyewe
.
 
wickerman hiyo website ipo vulnerable kwa html cross site scripting na sio site zote za hiyo cgi uliyosearch google ndo zipo vulnerable kwa hii njia jaribu kuingiza html code yoyote utayoijua then ncheki
 
Hivi hiyo kuhack unafanyeje? Maana mie naitaka sana kujua jins ya kuhack hasa accaunt za mitandao za my wife.

Hii ni zaidi ya hacking TKO ila jiandae kufariki kwa presha
 

Attachments

  • 1389515280455.jpg
    1389515280455.jpg
    33.4 KB · Views: 204
Sioni ubaya wowote kwa mtu ambaye anatumi saftware ambazo zilishatengenezwa kufanya hacking(script kindle) coz naamin badae huyo akipata ujuzi wa kutosha ataamua develop software yako hata isack newton alisema" if i have seen further it is because of standing on the shoulders of the giants" tunaweza kufanikiwa zaid kwa kutumia mawazo na idea za waliotutangulia go on script kindles .... one day you will make it and become real hackers all the best. . .
 
C++ , mfano ukaamua kuingia katika hiyo site na kuingusha ndani ya hiki kipindi ambacho amempa, Shiny C akija sema yeye ndio ameidondosha utamkataliaje? site yenyewe aliyo iweka sasa ivi haipo hewani

.
Ahaahaaaa me ciwezi kufanya kitu kama hicho ndugu yangu na hata nikipita huwa siachi nyayo....
.
Labda huyo ndugu yangu anadhani watu walikuwa bado hawajaanza hizo mishe....... Kumbe walikuwa deep web
.
Eti ni anze kupost kwenye site
.
YoUR hACkEd BeCaUsE Of YoUr pOoR SeCUriTy
.
Me sifanyi kitu kama hicho kabisa labda kuiamisha server ya website kuipeleka kwingine
.
Ila mambo haya tz hayalipi kabisa c bola nirudi deep web
.
.
 
wickerman hiyo website ipo vulnerable kwa html cross site scripting na sio site zote za hiyo cgi uliyosearch google ndo zipo vulnerable kwa hii njia jaribu kuingiza html code yoyote utayoijua then ncheki
Mkuu, mbona umepanic, sijasema site zote, nimesema utapata nyingi tu...
 
...naomba nikupe account yangu yoyote then ui hack, na tukubaliane, ukishindwa u must me, na ukishinda i will pay u, muda nao utahusika

sasa ww unataka umpe account yako ipi gmail,fb ama ?? Hizo ni mitandao mikubwa obviously loopholes zake lazima uwe advanced hacker levo nyingine kabisa ila kibongobongo website nyingi mbovu na security ndogo web zimekaa kama blog.muapreciate kijana. Walau kidogo.mwache atumie fursa.
 
Wenye site sizizo ingilika hawasemi na wala hawajisifu, kwasababu wanajua hakuna system iliyo kamilika 100%. na 99% inatosha kwa hacker mzuri kupenya.
Watu wanatoboa hadi kwenye site za CIA iweje yako ishindikane>>

yangu inaingilika kwa iyo nataka aniaminishe kuwa yeye ni hacker. pia nitampa hela kwa kuweza hilo
 
Back
Top Bottom