Ni majuzi juzi tu nlianzisha thread kwamba inabidi tanzania tujiupgade kwenye techs kwa njia ya kuhack, well nkapost topic inayohusu site ndogo tu nliyohack hata sekunde kumi hazijapita thread ikafutwa , nkakaa mezani nkafikiria hivi nikipata loopholes kwenye site za tz na nkienda kuziripoti itakua dili , mzee mzima nkaingia mzigoni na brand new kali linux nkaanza kusearch loopholes na kujaribu kuziexploit nikazinotedown fasta fast nkang'oka mbio kwenda ofisi husika ya shirika nliloweza kupata matundu, mwanzoni nmefika pale secretary ndo kwanza hata hajui maana ya kuhack bahat nzuri mkubwa flan akasikia then akanifata nlienda na laptop yangu na nkamwonyesha jinsi itavyokuwa wasipoziba sio siri alikua surprised akapiga simu kwa kijana wake wa i.t akaja mbio kuhakiki maana alikua ni mbishi mno kafika pale nae anatoa macho tu ndo kwanza hata kali haijui well tukafix mambo palepale nkapelekwa ofisi zao za uhasibu chap chap nkapewa kitita cha laki 2 nae jamaa wa i.t akaniita palepale akanipa 50 jumla ikawa 250 k na kiukweli nilifurahi sana maana nimefumbuliwa macho kuwa kipaji changu cha kuhack kinaweza kuwa bonge la dili