Jinsi gani unaweza kutoka professional bodies na kujiunga na universities

lushalila

JF-Expert Member
Feb 23, 2015
283
107
Naomba mnisaidie wenyekujua Mimi nimesoma masuala ya procurement, nimepata elimu hiyo kwenye bodi ya wataharamu wa ugavi na ununuzi, psptb. Nimefikia level inayoitwa p3 . Natakakujua Kama kuna uwezekano wowote WA kutumia matokeo hayo nikajiunga na masomo ya degree bila Kuwait na matokeo ya form six wala diploma?
 
Naomba mnisaidie wenyekujua Mimi nimesoma masuala ya procurement, nimepata elimu hiyo kwenye bodi ya wataharamu wa ugavi na ununuzi, psptb. Nimefikia level inayoitwa p3 . Natakakujua Kama kuna uwezekano wowote WA kutumia matokeo hayo nikajiunga na masomo ya degree bila Kuwait na matokeo ya form six wala diploma?

Pengine ingekuwa vema ukaendelea mpaka mwisho (e.g., CSP/CPSP).

Ukiwa umemaliza kozi za professional body kama Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB) na kuwa Registered Professional, unakuwa level moja na mtu aliyesoma chuo na kuhitimu ngazi ya Masters.

Ukitaka kurudi kusoma chuo, unaweza kusoma Masters au PhD, kadiri utakavyopenda.

Hii inatokana na kuwepo kwa mfumo wa ulinganishaji elimu (National Qualifications Framework, NQF au TzQF / University Qualifications Framework, UQF).

Angalia: Elimu ya Ufundi Katika Utumishi wa Umma
 
Back
Top Bottom