Jinsi gani nitaondoa virus kwenye computer yangu

Jinsi gani nitaondoa virus kwenye computer yangu

Petro Oswald

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2015
Posts
2,391
Reaction score
1,912
Habari za asubuhi wana JF....jana nilipeleka flash yangu stationery moja hivi kwaajili ya kuprint document flan.......nilipokuja kuileta kwenye PC yangu hali ulikua mbaya....nilijisahau nikaopen mafaili yangu ya kwenye flash,,,,nikagundua nimeingiza virus ....natumia kerspesky antivirus ambayo ni original lakini imeshindwa kuua huyo mdudu,,,,,sasa kompyuta imeanza kumisbehave....naombeni ushauri au msaada nifanyaje
 
Ina misbehave kwa kufanyaje?,hebu nenda deep kidogo
 
Back
Top Bottom