Gennivive moretheiz
Member
- Jul 19, 2013
- 16
- 8
Anayejua anijuze
Ntapost namna ya kuhack account ya facebook..gmail hapana sifahamu ..ni PM jina unalotumia fb then ntakuhack uje uwahadithie hapa then ndo ntakuambia nimefanya vp
Anayejua anijuze
Anayejua anijuze
una hamu ya kula ban, maana leo umekuja kunichokoza hehehheeeeNtapost namna ya kuhack account ya facebook..gmail hapana sifahamu ..ni PM jina unalotumia fb then ntakuhack uje uwahadithie hapa then ndo ntakuambia nimefanya vp
Toa sababu 10 za muhimu kutaka kuHack nikiridhishwa nazo nitakusaidia
Mkuu unajua maana ya ku Hachk?? Unaweza rudisha account yako ya FB bila kuhusisha any Hacking MkuuNtatoa sababu zaidi ya 10 ikiwa utathibitisha kunisaidia.(sio kuhack acount ya mtu bali ni ya kwangu mwenyewe sema nlisha sahau password na mambo mengine. Ninahisi friend request zitatakuwa nyingi mpaka sasa) kama uko tayar niambie nikuchek PM. Thanks
mtoa mada unapoteza muda wako bure
facebook account sio rahisi ku hack kama unavyodhani
sio rahisi kama kuhack hizi
website za kina masharobaro sijui
g5 click sijui madudu gani
labda mtu huyo asomee mit huko
usitegemee mtu asomee
sinon college au datastar college ya kariakoo
halafu aje a hack thubutuuuuuu