Ba Razaack
Member
- Jun 15, 2020
- 31
- 41
Habara wana JF, hope mpo poa.
Ilikuwa mwaka 2016 rafiki yangu anaefanya kazi Jiji la Dodoma wilaya ya Kongwa alinitumia card ya harusi akiniomba kumpa support kwenye harusi yake kama ilivyo desturi ya Waungwana nilimsaidia huo mchango na kufanikisha hiyo harusi.
Miaka miwili mbele yaani 2018 nami nikawa na Mchakato wa kufanya harusi, kama ilivyo desturi zetu unapokuwa na jambo la kheri unashirikisha watu niliamua kumshirikisha Pia rafiki yangu wa Dodoma_Kongwa kwa kutumia card ya Mchango wa harusi.
Duuuuu! Tenda wema uende zako toka siku nimemtumia card hiyo hajawahi kupokea simu yangu wala kujibu SMS yangu ni miaka miwili sasa toka nimeoa.
Bado natafakari ni card ya mchango tu ilitutenganisha au kuna kitu kingine.
Natua peni chini.
Ilikuwa mwaka 2016 rafiki yangu anaefanya kazi Jiji la Dodoma wilaya ya Kongwa alinitumia card ya harusi akiniomba kumpa support kwenye harusi yake kama ilivyo desturi ya Waungwana nilimsaidia huo mchango na kufanikisha hiyo harusi.
Miaka miwili mbele yaani 2018 nami nikawa na Mchakato wa kufanya harusi, kama ilivyo desturi zetu unapokuwa na jambo la kheri unashirikisha watu niliamua kumshirikisha Pia rafiki yangu wa Dodoma_Kongwa kwa kutumia card ya Mchango wa harusi.
Duuuuu! Tenda wema uende zako toka siku nimemtumia card hiyo hajawahi kupokea simu yangu wala kujibu SMS yangu ni miaka miwili sasa toka nimeoa.
Bado natafakari ni card ya mchango tu ilitutenganisha au kuna kitu kingine.
Natua peni chini.