bilson tusalile
Member
- Sep 17, 2016
- 22
- 6
Nasumbuliwa na jino limetoboka mm sitaki kulitowa naomb tiba ya kienyeji kwamaan wanasema watalam jino ukilitowa usipital linaanz lingine na kwel nimetowa jino la kwanz na saiz nasumbuliwa la pili
Pole sana....kuna jamaa yupo mmbande anakufunga dawa mkononi na hakuchanji wala nini unapona kabisaNasumbuliwa na jino limetoboka mm sitaki kulitowa naomb tiba ya kienyeji kwamaan wanasema watalam jino ukilitowa usipital linaanz lingine na kwel nimetowa jino la kwanz na saiz nasumbuliwa la pili
Nisaidie kuwa unafanyaje sasaPole sana....kuna jamaa yupo mmbande anakufunga dawa mkononi na hakuchanji wala nini unapona kabisa
Wew naona unachemsha kande dadaNenda kwa dentist lisafishwe lizibwe usitafute short cuts
Hapo lilipotoboka kuna mabasi ya chakula yameweka bacteria, ukiliziba bila kusafishwa utapapta tabu sanaWew naona unachemsha kande dada
Au unapasha mlenda wanasafishag jino
Litaendelea kuchimbika kwa ndan kwasababu ya backteliaHapo lilipotoboka kuna makai ya chakulavyameweka bacteria, ukiliziba bila kusafishwa utapapta tabu sana
Hasa walisafisha wanaua bacteria na kama una infection wanakupa antibiotics. Pia hao bacteria ndiyo wanahamia kwenye jino la pili uking’oa hilo.Litaendelea kuchimbika kwa ndan kwasababu ya backtelia
Nipo mbali sana mm nipo morogoro kilombeloDawa ya jino si kung'oa, watu tunaishi na meno ambayo yalikuwa yametoboka kinywa chote. Nenda kwa dentist mzuri kama una pesa nenda Masaki kuna madentists wajerumani ila aliyenitibia alikuwa Prof. wa Kispanish walimzingua kipindi hiki Magu alipoingia akaondoka.
Utasafishwa, upewe dawa kama una uvimbe uishe. Utafanyiwa Root Canal watatoa nerves, wataziba kwa muda wa week halafu unaenda kuzibwa permanently. Kwisheni. Ukiniona utadhani nina meno kumbe ......
Wanakufa wote backteliaHasa walisafisha wanaua bacteria na kama una infection wanakupa antibiotics. Pia hao bacteria ndiyo wanahamia kwenye juno la pili uking’oa hilo.
Jenga tabia ya kusafisha meno mara mbili kwa siku angalau asubuhi na usiku kabla hujalala
TUPIGIE OMEGA DENTAL CARE TUATIBU MENO BILA KUNG'OA KWA TIBA YA KUDUMU 0754008502Nasumbuliwa na jino limetoboka mm sitaki kulitowa naomb tiba ya kienyeji kwamaan wanasema watalam jino ukilitowa usipital linaanz lingine na kwel nimetowa jino la kwanz na saiz nasumbuliwa la pili
Ok kwa sasa wewe tumia Aspirin. Mimi siyo daktari ila natumia uzoefu wangu. Upunguze uvimbe wakati huo unasukutua maji ya chumvi ya uvuguvugu ila mwone dentist haraka angalau wakusafishe. Utapewa kidonge cha kukutoa maumivu kama wanacho au labda sindano. Kama hawezi kukuziba ata ku refer kwingine kama Moro. Using'oe meno ila yale wisdom teeth mimi niling'oa baadh ni bure kabisa.Nipo mbali sana mm nipo morogoro kilombelo
Watu wana tabia ya kusafisha meno kabla ya Breakfast basi wakijitahidi kabla ya kulala. Kawaida ukitaka kulinda meno, kila baada ya mlo, sukutua siyo kabla. Na muhimu watu wasisahau kusukutua ulimi na gums sababu zinabeba wadudu kibao. Kama huna muda wa kusukutua mchana, nunua gums zenye mint zinasaidia kidogo ingawa sina uhakika.Hasa walisafisha wanaua bacteria na kama una infection wanakupa antibiotics. Pia hao bacteria ndiyo wanahamia kwenye juno la pili uking’oa hilo.
Jenga tabia ya kusafisha meno mara mbili kwa siku angalau asubuhi na usiku kabla hujalala
Kuna wanaokwenda ofisi ni na toothbrushes baada ya lunch wanakwenda bafuni kusafisha neno. Ukweli ninabeba mswaki kama ninakuona dentist baada ya kaziWatu wana tabia ya kusafisha meno kabla ya Breakfast basi wakijitahidi kabla ya kulala. Kawaida ukitaka kulinda meno, kila baada ya mlo, sukutua siyo kabla. Na muhimu watu wasisahau kusukutua ulimi na gums sababu zinabeba wadudu kibao. Kama huna muda wa kusukutua mchana, nunua gums zenye mint zinasaidia kidogo ingawa sina uhakika.
Nashukulu kwa ushauli wakoOk kwa sasa wewe tumia Aspirin. Mimi siyo daktari ila natumia uzoefu wangu. Upunguze uvimbe wakati huo unasukutua maji ya chumvi ya uvuguvugu ila mwone dentist haraka angalau wakusafishe. Utapewa kidonge cha kukutoa maumivu kama wanacho au labda sindano. Kama hawezi kukuziba ata ku refer kwingine kama Moro. Using'oe meno ila yale wisdom teeth mimi niling'oa baadh ni bure kabisa.