Mi leo niulize swali, mwanamke anawezaje kuondoa athari za jini mahaba!! Kwa mfano kabla hajaingiwa na jini mahaba alikuwa anaweza kukutana na mumewe kwa siku mara zaidi ya mbili (vijana wanasema bao mbili au tatu na kuendelea)!!
Huyu mwanamke baada ya kupata jini mahaba, yule jini si anaweka sumu zake baina ya hao wanandoa wawili ili wasiweze kukutana kimwili! Sasa jini limetolewa na zile dalili zote za jini kwa huyu mwanamke zimetoweka lakini ule uwezo wa kukutana mara nyingi nao umetoweka!!
Wakipigana kimoja ndiyo doroo hadi kesho yake, kifupi tendo la ndoa halijarudi kwenye raha zake.
Wafanayaje hawa wanandoa waweze kurudi vizuri?? Msaada wenu
mshana jr na
MziziMkavu