Jini Mahaba

Jini Mahaba

Kwa yule mwenye jini mahaba ni kweli ana dalili asilimia 80 au zaidi ya zilizotajwa. Nimewahi kuwa mke mwenye jini mahaba, yaani ni shida na matatizo. Unahitaji kuwa na uvumilivu wa hali ya juu sana ili muendelee kuwa pamoja. Hatukuweza kuendelea kuishi pamoja pamoja na kuwa tuliishi kwa miaka 8 lakini ilikuwa ngumu sana kuvumilia. Hakika majini mahaba yanatesa sana watu.
Mimi nakubaliana 100% na mzizi mkavu.



sucubi-jpg.516875

Jini Mahaba kwa jina anaitwa Succubus

Majini yapo ya aina mbali mbali na koo zao ziko mbali mbali kutokana na maumbile yaliyoelezewa katika vitabu vya dini kuwa yametokana na moto, majini yana sifa za moto au joto katika usafiri wake wa aina tatu yaani conduction,convection na radiation.

Majini yanatuona na sisi hatuyaoni ila yanaishi ulimwemgu huu tuliyomo, kuna viumbe vingi duniani ambavyo mwanadamu hawezi kuviona ila kwa darubini lakini vile vile kuna viumbe hawezi kuviona hata kwa darubini ila kuhisi na kutambua kwa dalili tu.
Majini tunapishana nayo sehemu mbali mbali mida fulani na kiasi kwamba hata kurusha takataka kwenye majalala waweza kuyarushia kwani mara nyingi yapenda kukaa sehemu chafu baadhi yao, hivyo basi ikitokea ukarusha takataka likayapiga yanadhani umefanya makusudi nayo yanalipiza kisasi na kukutesa sana, ushauri weka takataka kwenye dust bin au jalala bila kurusha endapo yapo usije yapiga na kalipiza kisasi kwani ni machungu sana ukiyaumiza au kuyatupia kitu bila kuyaona.

Majini yana tabia kama ya wanadamu mfano kuna majizi(chuma ulete), mazinifu(majini mahaba), mafitini yenye kuchonganishi familia na wanajamii bila kuelewa kwa kuingilia mifumo yao ya fahamu na kuwatia wasi wasi na husuda kubwa yenye chanzo cha majini wa aina hiyo.

Majini mahaba yakimtamani mwanamke yanajitahidi kumuingilia usiku kama mke wa hayo majini na yakiisha muhodhi yanammiliki na hayataki mtu mwingine amguse au kumuoa kama hajaolewa kiasi kwamba posa zitaharibika kila mara, kama ni mke wa mtu yatamfanya amchukie mume wake bila sababu na akisafiri mke huyu anakuwa na furaha na akirudi anahuzunika na kuona yuko kama kifungoni vile, sehemu za siri zinakuwa na mgogoro kama kukauka, kubana sana, kuumia, kutoka damu ghafla ili mradi wasifanye tendo la ndoa na mume kwa amani.

Pia kuna majini mahaba ya kike yakitamani mwanaume usiku ataota mwananmke mzuri na atazini naye kila mara kiasi kwamba atamchukia mke wake bila sababu na kumuona mbaya wa sura na kumjibu majibu ya chuki hata kwa jambo la kawaida sana.Jini mahaba likiwa na wivu mwingi mpaka nguvu za kiume kumuingilia mke wake zinakosa na kuhisi moyo kwenda mbiu. Si hii tu mpaka mipango na afya yake vyaweza kuvurugika kila mara.Haiifai binadamu kuowa au kuolewa na Jini.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Jaman ndugu zangu JF naomben msaada nna mpenz wangu ambaye nampenda sana ila mara nyingi nkikutana naye huwa kisiran sana namuuliza n tatizo ananijibu jeuri na kuna wakati ananiambia kuwa c yy bal anahic kwamba anajini mahaba ndo anamfanya awe ivyo Naitaj msaada wenu wana JF.
Mpeleke akaombewe huyo kama bado hajafunguka hicho kifungo cha JINI MAHABA
 
Jaman ndugu zangu JF naomben msaada nna mpenz wangu ambaye nampenda sana ila mara nyingi nkikutana naye huwa kisiran sana namuuliza n tatizo ananijibu jeuri na kuna wakati ananiambia kuwa c yy bal anahic kwamba anajini mahaba ndo anamfanya awe ivyo Naitaj msaada wenu wana JF.
Muitie mchungaji au shekhe amuombee
 
Dalili ya mtu mwdaah jini mahaba na pepo mchafu hizi hapa chini.

1.kuna kujitambua kuwa una majini kwa njia mbalimbali.kujitambua kwa njia ya ndoto na ya dhahiri.


2.dalili za dhahili.

a.kizunguzungu.

b.vitu kutembea tumboni.

c.vicheza mwilini.3

d.kichwa kuuma mara kwa mara.

e.kuhisi mtu anatembea nyuma yako.

f.kupiga mihayo sana.

g.macho kukosa aibu.

h.hasira za mara kwa mara.

i.kupoteza kumbukumbu.

j.ugomvi wa mara kwa mara.

k.maradhi ya kujibadilisha badilisha.

l.kuhisi baridi mara kwa mara.

m.kutojisikia kuongea hasa wakati unapossemeshwa na mtu unaona kama

anakusumbua.

n.masiko kupiga kelele.

o. Kuhisi vitu vinaongea masikioni.

p.kupoteza hela mara kwa mara kwa njia ya kutatanisha.

q.kuharibikiwa na vitu hasa vya moto.

r.matatizo ya hedhi kufungika au kutoka kwa wingi au kukosa kabisa.

s.kufungika kwa kizazi.

t kustuka stuka

u.moyo kuongoka sawa na mtu mwenye presha.

v.kupungukiwa damu na kukonda au kuishiwa maji mwilini.

w.kupungukiwa nguvu za kiume au za kike.

x.kusikia uchungu wakati wa tendo la ndoa au unapomaliza.

y. Kuhisi kichefuchefu unapomaliza tendo la ndoa.

z.kuhisi manukato au harufu mbaya.

aa.kukosa hamu ya kula au kubagua chakula.

bb.mimba kupotelea tumboni.

cc. Kuhisi watu wanakusemesha na hauwaoni.

dd.kifafa.

ee.kichaa.

ff.pia majini humsababisha mwanamke kuwa mkali wakati anapoombwa

tendo la ndoa.


3.dalili katika ndoto.

a.ndoto za kufukuzwa na wanyama wakali.

b.ndoto za kuota unajifungua.

c. Kuota unapigwa.

d.ndoto za kuogelea.

e. Ndoto za kupaa.

f.ndoto za kuota umepandishiwa jini.

g. Ndoto za kuota umeoa au umeolewa.

h.kuota umevalishwa pete au mkufu.

i.kuota unapigana.

j.kuota unapiga kelele.

k.kuota moto mkubwa.

l. Kuota unazika.

m.kuota umekufa.

n.kuota unafukua kabuli.

o.kuota sherehe mara kwa mara.

p.kuota unaongea na watu waliokufa.

z.kuota unaona visuguu.

aa.kuota unaona mafuvu wa watu.

bb.kuota unapiga ramli.

cc.kuota unavaa bangili au shanga.

dd.kuota watu wanachunga ng,ombe.

ee.kuota watu wamevaa nguo nyeupe..

ff.kuota unakabidhiwa mkuki,fimbo,mundu,mbuzi,kondoo,ng,ombe

na kitambaa cheupe.

gg.kuota vijumba vya mizimu.

hh.kuota vibuyu.

ii.kuota unakunywa au unanyeshwa damu.

kk.kuota watu wamevaa kanzu .

hizi ni dalili za majini kwa njia za ndotoni japo zipo nyingi ila nawatajia hizi hapa

kwa ufupi .na pia namuomba mwenyezi mungu aendelee kunipa fahamu ili niendelee

kuwaelimisha na kuwafundisha mambo mengi ya kuwatambua majini kwa njia za

njozi pia kwa njia za dhahili.watu wengi wanasumbuka na mashetani ,mizimu,majini,

maiti lakini hawajitambui sasa nahitaji kuwapa elimu ili muweze kufaidika nazo.

na pia nawafundisha dawa kwa ajili ya huduma ya kwanza.asante yenu

itanisababisha kazi yangu kusonga mbele hii ni moja ya sadaka.

kwa sasa majini ndio wanaongoza kwa kuwatesa watu ,na kuwatia nuksi,nakuwafilisi ,pia na kuvunja ndoa za watu.

MATIBABU Wasiliana na Mimi kwa njia ya Email baruwa ya pepe Nitumie Email Address yangu hii

fewgoodman@hotmail.com

Au ni add kwenye What's App yako au Viber kwa hii namba yangu +905344508169
Mkuu mbona unaniogopesha kwa dalili hizo cjui kama nimepona aisee daah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom