Jini mahaba ananipa mambo

tia kunka kaka kama vip ongezea na mkuyat il akayape taarifa na wenzake waje kwako kwa wng

bwa ha ha ha
mwana umenipa wazo zuri sana mm napiga tende tu hap kla sku ila nadhani mkuyati ni wa ukweli
 
tumia kinga mkuu. virusi vyake hao jamaa hata babu haoni ndani
 
tumia kinga mkuu. virusi vyake hao jamaa hata babu haoni ndani

du, kwa hiyo inabidi kila sku nikilala niivae kabisa nini? Duh!! Hapa ndio unapoamsbiwa " ukistaajabu ya Mussa"
 
Kuna ndgu yako kakutumia mara nyingi Politicians ila nimeshangaa umejuaje kama ni jini na watu wengine hawamuoni maana mara nyingi waliotokewa huwa hawajui kirahisi kama ni jini.
 
Kuna ndgu yako kakutumia mara nyingi Politicians ila nimeshangaa umejuaje kama ni jini na watu wengine hawamuoni maana mara nyingi waliotokewa huwa hawajui kirahisi kama ni jini.

hapa umeingia cha kike, hakuna ndugu yangu mwenye uwezo wa kufanya hivi..
 
Unamaanisha popobawa??

soma vizuri thread yangu. Nimeiandika vizuri sana na inaeleweka. Au umeandika hapa ili kuongeza idadi ya post zako nini
pls!! Read my thred first before you come and write here , i need an advice from well educatedkeven traditionally peoples here in JF. Tchao!!
 

Nyeto ukiizoea inatabu sana ndo mwisho wake huuu:lol::lol::lol:
 
kamua tu kaka,hivi toka umeanza naye kashawahi kukuomba hela ya kwenda Saluni?
 
maria acha mzaha . Mi nipo njia panda ndugu yangu wewe unaleta utani? Niambie kuna madhara yoyote?


Haahaha haha unalo leo kazi kwako madhara yapo kibao wahi ukaombewe uondokewe na pepo la ngono :lol::lol::lol:
 
Ukiamini hvyo cku moja litakuja jini dume hapo ndo utaipandeka
 
Duuuuhhh
Pole ingekuwa si jini tungesema pombe

Nway na zeze anapiga??
 
nenda kaombewe kama ww unaamini kihivyo, au kaandikiwe matakimu kwa haya haya !!!
 
naskiaga yanakuwaga warembo kweli...
hongera.:ballchain:

kuna siku nilikuja na mada ya majini warembo hamkuamini sasa wanaanza kutoa ushuhuda wenyewe, jamani haya yapo sana kweli ni watamu wanajua stail zote, wawana ngoma, wala hawaugui magonjwa yoyote, ila mwisho wa siku litakugeuka ikibidi kukudedisha,
 

Njooni kwangu ninyi msumbukao na wenye kuelemewa na mizigo, nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi..Asema BWANA
 

Jaman muwe mnatumia na akili zenu...kutafakari.
Jinn ni kiumbe bila shaka. Kama si kiumbe kwa hiyo imani yako... jinn ni nin?
Halafu neno shaytwan ni sifa. Hata ww binadam unaweza itwa shaytwan.
Lakin ww binadam huwezi itwa jinn and virce versa.
Uliza ujibiwe na uelimishwe zaidi kuhusu hao viumbe(majinn).
 
Toa maelezo zaidi
huyo jini yuko Je?
Na unaonana nae vipi
Kama ni ndoto basi unamatatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…