HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,146
Pumzi zinakata, halafu unajiona nguvu zinakuishia.Mara ya kwanza mkuu kupatwa na hio hali nilihisi nataka kuaga dunia, niligopa sana nilivorudi kwenye hali ya kawaida, yalipigwa maombi ya kufa mtu
Aliko Dangote
Yaani unaona kabisa wewe na kwa Mungu jirani.
Hiyo ukipata haueni lazima ukae Kitandani kwanza ili Mawenge yashuke, na Mimacho lazima ikutoke kama Mjusi aliebanwa na Mlango.
Na lazima uwashe Taa hiyo.
Hapana kabisa chezea Jinamizi