Mimi nimepata meals&accomodation 1,989,000 then stationary 200000 then field 190,000 then special facaulty requirements 60,000 then fees 83%
Sasa angalia hesabu zako hapo juu hapa lazima ukomae kwelikweli maana kula chips kuku na starehe zingine lazima uache kama una demu lazima uache maana hutaweza kumtunza. HAPA KAZI TU
1,989,000 meals and accommodation UMEPEWA MKOPO mchanganuo wake ni kama hivi
Sh .80,000 bei ya chumba kwa mwezi X 12 miezi pamoja na maji na umeme = sh. 960,000 kodi ya chumba kwa mwaka
1,029,000 chakula ÷ 12 miezi = Sh. 85,750 kwa mwezi ÷ 30 siku za mwezi= sh. 2,859 kwa siku chakula
School fees 13% wazazi watalipa
special faculty requirements sh. 60,000 + stationary sh. 200,000= 260,000 Balance utakayobaki nayo
Bima 150,000 wazazi watalipa
Vitambulisho wazazi watalipa
Nauli za kila siku wazazi watalipa
Laptop wazazi watanunua
Vitabu wazazi watanunua
Photocopy
Hata kama utaishi Hostel bado gharama zingine zinakuhusu kama kulipia chumba cha hostel na maji na umeme watakata tu. JIPANGE VIZURI USOME