Jinamizi la meals & accomodation kwenye mikopo 3rd batch

Jinamizi la meals & accomodation kwenye mikopo 3rd batch

costa doncway

Member
Joined
Oct 5, 2017
Posts
65
Reaction score
17
Jaman wanaJF hivi kuna ukweli wowote kuhusu wanafunzi waliopata mkopo 3rd batch mbona karibu wote wamepewa meals&accommodation tu NA ada hatujalipiwa Mimi nakaribia kukata tamaa ya kusoma jaman naombeni mchango wenu juu ya hili
Shime kwenu wakuu
 
Jaman wanaJF hivi kuna ukweli wowote kuhusu wanafunzi waliopata mkopo 3rd batch mbona karibu wote wamepewa meals&accommodation tu NA ada hatujalipiwa Mimi nakaribia kukata tamaa ya kusoma jaman naombeni mchango wenu juu ya hili
Shime kwenu wakuu
Jichange pesa ya ada hata kopa....fanya usajili ukipata boom rudisha mkopo....tumia meal n accomodation kujisomeshea inawezekana kabisa....kuna watu hawajapata kabisa shukuru meals n accomodation unayo
 
Dogo piga kitabu. Ada hupewi wewe. Inapewa shule. We tengeneza budget ya kumaliza semester. Bumu, bumu, nime limisi kweli kweli.
 
Dogo hapo mbona umefanikisha kabsa .

Mshkuru Mungu umepewa hata hyo. Na ni rahisi sana kutumia hiyo ya meals kujilipia hiyo ada cha msingi hapa kopa fanya usajil then kasign hiyo pesa lipa deni lako endelea na kitabu.
 
Jichange pesa ya ada hata kopa....fanya usajili ukipata boom rudisha mkopo....tumia meal n accomodation kujisomeshea inawezekana kabisa....kuna watu hawajapata kabisa shukuru meals n accomodation unayo
Ahsante sana ngoja nijaribu kufanya hivo kwa msaada wa MUNGU tutashinda
 
Dogo piga kitabu. Ada hupewi wewe. Inapewa shule. We tengeneza budget ya kumaliza semester. Bumu, bumu, nime limisi kweli kweli.
napata shida kwa jinsi gani nitaweza kupata hiyo pesa kuanzia semester mkuu
 
Usikate tamaa ndg yng yani ishu mkopo wa Bodi ni kichomi htariiiii ww endelea kufuatilia ikibid pga kambi pale wakuone wakubwa wa nchi hii au uende kuomba kuonana na PM moja kwa moja.
 
Jaman wanaJF hivi kuna ukweli wowote kuhusu wanafunzi waliopata mkopo 3rd batch mbona karibu wote wamepewa meals&accommodation tu NA ada hatujalipiwa Mimi nakaribia kukata tamaa ya kusoma jaman naombeni mchango wenu juu ya hili
Shime kwenu wakuu
Yani inabidi ushukuru sanà. coz gharama za chuo ni chakula na malazi ada sio inshu sana kama unajiweza
 
Mimi nimepata meals&accomodation 1,989,000 then stationary 200000 then field 190,000 then special facaulty requirements 60,000 then fees 83%
 
kwahiyo unaniambia ada tayar wamelipa chuoni au?
Kama umeshidwa kuangalia jins ulivopata kwa kulog in.. Bas usijali nenda chuo utawakuta watu kutoka bodi.. Then utachukua form inaitwa register form then utaipeleka kwa watu WA bodi.. Hao watakuandikia kiasi cha ada kilicholipwa.. Kama hawajalipa chochote basi utandikiwa nil hivo itakulazim ukalipe Kwanzaa benki ndo uje uendrleeh na usajili chuon.... Badae utapatiw kitambulisho ambacho utawaonesha watu wa bodi basi nao watakuomba account number ili wakuingizie boom lako
 
Yani hata second batch mdogo wangu kapata boom na stationary tuu..!! Yani ulichopewaa shukuruu
. Adaa omba hata ndugu wakufikirie kama mzazi.hawezi au tafuta mdhamini kama bank hiv
 
Mimi nimepata meals&accomodation 1,989,000 then stationary 200000 then field 190,000 then special facaulty requirements 60,000 then fees 83%
Iv inawezekana mtu aliepata mkopo asilimia mia akakosa hela ya stationary na field?
 
Back
Top Bottom