Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
- Thread starter
- #21
Welcome to the IPC....! You seem to be qualified....!What if yeye akaanza kujua jina langu lililojificha kabla mimi sijamsimulia kisanga hiki; mfano nikipishana na wanaonifahamu, then wananitaja FATAKI...!
Konakali,
mwanzoni unavyomwaproach ni vyema ukamweleza ukweli halisi na jinsi unavyojiskia kwa sasa kuhusu jina lako,naamni solution pekee ni ukweli maana utakuweka huru,na kama anakupenda atakuamini.Otherwise,kila la kheri:A S thumbs_up: