Jina langu "FATAKI" linanigharimu....!

What if yeye akaanza kujua jina langu lililojificha kabla mimi sijamsimulia kisanga hiki; mfano nikipishana na wanaonifahamu, then wananitaja FATAKI...!

Konakali,
mwanzoni unavyomwaproach ni vyema ukamweleza ukweli halisi na jinsi unavyojiskia kwa sasa kuhusu jina lako,naamni solution pekee ni ukweli maana utakuweka huru,na kama anakupenda atakuamini.Otherwise,kila la kheri:A S thumbs_up:
Welcome to the IPC....! You seem to be qualified....!
 

Mkuu waliokupa hilo jina hawakukosea bwaha ha ha ha ha.
Ndiyo, hawakukosea na siwezi kuwalaumu maana walinipa jina hili kabla halijatafsiriwa na kutumiwa kufikisha ujumbe fulani kwenye jamii...! Lakini sasa kinachowezekana ni nini, ili kuokoa maisha yangu nami nipate kutimiza ndoto zangu kama wengine? Tafadhali, usinicheke, bali unisaidie...!

kuna mchungaji mmoja alisema kwamba majina mengine yamebeba laana,na majina mengine yanakufanya ufanane na maana za jina.
Kwa hiyo na jina langu lilikuwa na laana? Nimefanya nini hadi mimi nipewe adhabu hii? Sijawahi kuvunja ndoa/mahusiano, wala kumtia mtoto/mwanafunzi mimba, wala kubaka....! Dada yangu mbona unanikatisha tamaa? Tafadhali nisaidie bila kuchoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom