mose
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 489
- 448
Sijui kwa nini umeniunganisha na hili; lakini tafsiri ya mchambuzi ipo sawa kulingana na 'imani' aliyokuwa nayo mwandishi na chanzo cha 'maarifa yake'
Hmmm
Chanzo chake hakitoshi, kwa hiyo sina ulazima wowote wa 'kubadilishana naye mashauri' mpaka awe tayari kunipa 'ruhusa' niweze kuyabatilisha yote hayo; ama anioneshe yuko tayari kusikiliza na kufuatilia yaliyo ni mbadala...
Je, ndugu Ndaga uko tayari kuniruhusu nibatilishe msingi wa 'maarifa' yako? kuanza na mapungufu ya 'vina vya tafsiri'?
Kama hauko tayari ni sawa tu. Komaa katika mashauri ya imani yako mpaka pale utakapodhani unaweza kuyapitiliza...
Yote kheri
Last edited by a moderator: