Jina la ukoo au jina la babu

Jina la ukoo au jina la babu

CreatureKH

Member
Joined
May 14, 2021
Posts
42
Reaction score
88
Jamani nipo katika mgogoro na nafsi yangu...Je ni hasara gani zinapatikana kutumia jina la ukoo officially

Kuna mtu kanambia (mtumishi) nisitumie jina la ukoo kwa mtoto wangu maana linaakisi kabila lake hivyo itakuja kumpa tabu baadae katika harakati zake za kutafta maisha hasa akiamua kuajiriwa
Badala yake nitumie jina la Babu (linalofuata jina la babake)

Je, kuna ukweli wowote?
 
Jamani nipo katika mgogoro na nafsi yangu...Je ni hasara gani zinapatikana kutumia jina la ukoo officially


Kuna mtu kanambia (mtumishi) nisitumie jina la ukoo kwa mtoto wangu maana linaakisi kabila lake hivyo itakuja kumpa tabu baadae katika harakati zake za kutafta maisha hasa akiamua kuajiriwa
Badala yake nitumie jina la Babu (linalofuata jina la babake)

Je, kuna ukweli wowote?
Aliwazalo Mtu ndilo limtokealo pia kinyume chake ni sahihi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Jamani nipo katika mgogoro na nafsi yangu...Je ni hasara gani zinapatikana kutumia jina la ukoo officially


Kuna mtu kanambia (mtumishi) nisitumie jina la ukoo kwa mtoto wangu maana linaakisi kabila lake hivyo itakuja kumpa tabu baadae katika harakati zake za kutafta maisha hasa akiamua kuajiriwa
Badala yake nitumie jina la Babu (linalofuata jina la babake)

Je, kuna ukweli wowote?
Kwamba alimaanisha maswala ya ukabila au maana yake ilikua ni ipi hasa?

Sidhani kama kuna uhusiano wowote hapo.
 
Kama unataka kudumisha mila na tamaduni za chimbuko lako tumia jina la ukoo na likomalie hilo maana ndio identity yako. Kama hutaki mambo ya mila, Nyerere aliishasitisha mambo ya ukabila tena kwa sheria ile ya Nyarubanja ya mwaka 1965. Muite mwanao unavyopenda wewe na mwenza wako kwa sababu kinachorasimishwa huko Serikalini ni taarifa zako mwenyewe unazozitoa.
Migogoro ya aina hii inawapata sana waha wa Kigoma.
 
OBAMA anatumia jina la ukoo na amefika.mpaka kuwa rais wa USA. Sasa hilo jina la ukoo wenu lina shida gani? Labda kama muanzilishi wa ukoo alikuwa muuaji mikono yake ilijaa damu. Otherwise jina halina shida. Watumishi nao ni binadamu tu dont pay too much attention to them.
 
Jamani nipo katika mgogoro na nafsi yangu...Je ni hasara gani zinapatikana kutumia jina la ukoo officially

Kuna mtu kanambia (mtumishi) nisitumie jina la ukoo kwa mtoto wangu maana linaakisi kabila lake hivyo itakuja kumpa tabu baadae katika harakati zake za kutafta maisha hasa akiamua kuajiriwa
Badala yake nitumie jina la Babu (linalofuata jina la babake)

Je, kuna ukweli wowote?
Utakuwa ni mnyamulenge?
 
Back
Top Bottom