Jina la bwana libarikiwe!!

Jina la bwana libarikiwe!!

ubarikiwe sana Kijana leo,,Nataka kumwambia huyu tedo kuwa Injili haina mipaka,wala majukwaa kama unavyo jua wewe,Tena hili jikwaa na penda kuweka Maneno ya Mungu kwa kuwa najua watu wengi mnapenda kutembelea hili jukwaaa,KAZI YA MUNGU HAINA MIPAKA MILELE NE MILELE.
 
Last edited by a moderator:
Atabarikiwa mwenye kinywa kiwabarakiao wengine,ubarikiwe sana mpendwa nilikua nshachoka na mimada ya ovyo
 
amina!!! Mkuu uwaombee wapost threads za mapenzingono zinavutia sana macho hard to resist.
Watiwe upofu wa ufahamu.. Wakugeukie wewe Mungu Haleluya
 
amina mtumishi ..naomba nikuongezee mistari kadhaa..zaburi 121:1_3.nitayainua macho yangu nitazame milima.msaada wangu watoka wapi!.....pia kuna waebrania 4;1_8.lakin sisi hatumo kwa hao warudiao bali kwa wale waliaminio jina la bwana...yohana 6:67 tuondoke twende kwa nani mwanadamu ataondoka lakini mungu tupo naye kila siku.zaburi 50:15 ukaniite siku ya mateso nitakuokoa na wewe utanitukuza..nahumu 1;9 mnawaza nin juu ya bwana yeye atakomesha mateso hayatainuka tena...yesu atusaidie katika kulishika na kulitii neno lake..

hakika yeye ni mwanzo na mwisho,jana, leo na hata milele. Kila goti litapigwa kwani hakuna wa kufanana naye
 
Back
Top Bottom