Eliezar Mlwafu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 449
- 140
Dunia haina kitu cha kutupatia,ila ni Yesu tu ndiye anaye weza kutupa kila tutakacho,ukiitafakari Dunia kwa udani hakika ni uchafu,Dunia imechanganyikiwa,Dunia ina waya waya,ukipata mda soma ((( walaka wa 1 wa YOH.1:1-10& 2:1-17 ))) Mungu anatupenda sana ,hebu soma uyatafakari hayo Maandiko.HAKIKA BILA YESU MAMBO YOTE NI UBATIRI MTUPU.,MUNGU AWALINDE NA KUWAPA HAJA YA MYOYO YENU.AMINA