pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Hata NBC inaitwa NBC bank au benki ya NBCPamoja na kuwa sio ya wakulima tena lakini mkuu ni kwanini baada CRDB kuna neno BANK?
B ilioko kwenye CRDB inasimama badala ya nini?
Hata NBC inaitwa NBC bank au benki ya NBCPamoja na kuwa sio ya wakulima tena lakini mkuu ni kwanini baada CRDB kuna neno BANK?
B ilioko kwenye CRDB inasimama badala ya nini?
Acha unanga kijana.. kujifanya hujaelewa.. we paka eeh..Chama Cha CCM. Kuwa serious basi ndugu.
UmekurupukaAsee aliyeleta uzi huu nadhani amelala.... NMB Bank.. NBC Bank.., BOA Bank... DTB Bank... Ni hivi pale tunapotumia UFUPISHO WAKE LZMA TUWEKE KITU BANK ILI KUELEZEA KUWA HICHO KILICHOFUPISHA NI BANK FULANI.... Kwa mfano BOA.. yaweza itwa BARRIERS OF AUDITING (BOA)... So wanaweka hiyo ili kufafanua zaidi juu jina tajwa hapo..
Kampuni nyingine zinaandikwa "Pty Ltd" ' ni nini maana yake mkuu?PLC means Public Limited Company... not private... ikiwa prvte huitwa Only limited (LTD)
Unaleta ligi ya kijingaYou can't be serious
Neno CRDB, halina kirefu tena, ndiyo maana inaongezeka neno Bank mbele kama ilivyo TIB Bank siku hiziKwa vyovyote hujaelewa ninachotaka kukifahamu. Cooperative Rural Development Bank ni CRDB lakini pana maandishi mengine ya "Bank" ndio maana nikasema Tazama Logo!
Uko sawa aiseeCRDB haina kirefu, ni neno moja kama ilivyo mama, mtu, azam, n,k. Baada ya kubinafsishwa mwaka 1996, bank ilibadili jina kutoka Cooperative Rural Development Bank na kuwa CRDB Ltd na baadaye 1999 ikawa CRDB Bank Ltd. Mwaka 2009 ilipojiunga na soko la hisa DSE ikawa CRDB Bank PLC.
Hizo ulizoweka haihusiani na CRDB Bank wala TIB Bank
Hakuna chama cha ccm kuna chama cha mapinduzi ama ccmChama Cha CCM. Kuwa serious basi ndugu.
Leta hilo jina hapa... hakuna na sijawahi kuona hicho kitu... mara nyingi tunatumia PLC au LTD... Public ni kampuni ambayo ina wamiliki kuanzia 7 na kuendelea na ndio maana CRDB ni Plc Haimaanishi kwamba ni ya serikali bali ni ya watu wengi yaan hata wewe unaweza nunua share na ukawa mmoja wa wamiliki...Kampuni nyingine zinaandikwa "Pty Ltd" ' ni nini maana yake mkuu?
Kwani CRDB.. IKINYUMBULIWA SI HUANDIKWA COMMUNITY RURAL DEVELOPMENT BANK...???