Jimbo la Mtama Nape hali mbaya

Jimbo la Mtama Nape hali mbaya

Mtama wamepewa CUF kupitia UKAWA.
Baada ya Mathew kukatwa CCM Pinda na Nape wakampanga Mathew ajionyeshe amehama CCM ili ajiunge CHADEMA na kuchukua fomu kwa lengo la kuwagawa wapiga kura wa UKAWA. Lakini wamefeli wapigakura wamestukia dili lao. Nape kapoteza atabaki huko huko MC

Ona hii video hapa: Ndio utafamu kuwa MTAMA ni habari Nyingine.

CCM Blog: NAPE AWASAMBARATISHA UKAWA MTAMA
 
Mabadiliko Mchinjita Maendeleo Mchinjita. nukta.

Mtama oyeeeeeeee Mchinjita sawaaaaaaaaa
 
Mmeanza kunielewa nn????

Mathew ni mchezaji wa ziada wa CCM. Lengo kuvuruga wananchi na kugawa kura.
Lakini peoplesss wamestukia wanamtaka Mchinjita.

Mabadiliko Mchinjita maendeleo mchinjita. Nukta.
 
Habari za siku jamaa yangu Prof Ngongo.

Naomba ufafanuzi kiduchu kuhusu Jimbo la Mtama, UKAWA wamesimamisha wagombea wawili.

Mgombea CUF-katika jimbo la-Mtama, Isihaka Mchinjita.

Na Mgombea wa Chadema jimbo la Mtama, Seleman Methew.

Sasa UKAWA watampigia kura nani?
Isihaka Mchinjita

CCM ndio wamesimamisha wawili huyu Isihaka Mchinjika ni ccm ndio maana sisi CUF hatumtambui.
 
Nini kisichoeleweka ndugu yangu? Nimesema kwamba maoni ya watu wengi wanaposema Mtama wanamaanisha kile kijiji chenyewe cha Mtama ambacho kipo barabara kuu itokayo Lindi kwenda Masasi lakini tunposema jimbo la Mtama; hili ni jimbo ambalo limeundwa na vijiji vitupu na vingi vipo ndani ndani na wapita njia wala hawavifahamu! Sehemu ambazo Mathew labda anaweza kufurukuta ni hapo Mtama penyewe, Mnazi MMoja, Kiwalala na nyangao! Hivi ni vijiji vikubwa na vimechangamka sana lakini ukiacha hivyo vijiji bado kuna vijiji vingi sana vipo ndani ndani huko! Lakini hata ninaposema Mathew anaweza kusumbua, sio kwa staili ya eti ndo amshinde Nape... sioni huo uwezekano!

Kwahiyo hoja hapa ni kwamba watu wasiangalie mihemuko iliyopo Mtama pale makao makuu ya jimbo wakati wakati kuna vijiji vingi sana ambavyo hata hao waleta mada hapa hawavifahamu na hata kusikia si ajabu hawajawahi kuvisikia! Don't forget, Lindi ni mkoa mkubwa sana kieneo!

Mkuu Mnazi mmoja ipo Manispaa kwa hiyo no sehemu ya jimbo la Lindi mjini, Kiwalala mgombea wa CUF ndg Mchinjita ana nguvu, Mtama mgombea wa Chadema ndg Selemani ana nguvu na Nyangao & Nyengedi mgombea wa Ccm ndg Nape ana nguvu hizo ni sehemu za barabarani.
 

CCm Lori 1.jpg

View attachment 293761

View attachment 293762

View attachment 293763

View attachment 293764
 
To:Chakaza....mbona nashindwa kuamini kama Mzee Makamba amewahi kusema Nape hafai duniani wala mbinguni....sababu ni;mazishi ya baba yake Nape yalisimamiwa na Makamba....Nape na Makamba wapo chama kimoja....Makamba anamuogopa Nape kwa mitusi
 
Nini kisichoeleweka ndugu yangu? Nimesema kwamba maoni ya watu wengi wanaposema Mtama wanamaanisha kile kijiji chenyewe cha Mtama ambacho kipo barabara kuu itokayo Lindi kwenda Masasi lakini tunposema jimbo la Mtama; hili ni jimbo ambalo limeundwa na vijiji vitupu na vingi vipo ndani ndani na wapita njia wala hawavifahamu! Sehemu ambazo Mathew labda anaweza kufurukuta ni hapo Mtama penyewe, Mnazi MMoja, Kiwalala na nyangao! Hivi ni vijiji vikubwa na vimechangamka sana lakini ukiacha hivyo vijiji bado kuna vijiji vingi sana vipo ndani ndani huko! Lakini hata ninaposema Mathew anaweza kusumbua, sio kwa staili ya eti ndo amshinde Nape... sioni huo uwezekano!

Kwahiyo hoja hapa ni kwamba watu wasiangalie mihemuko iliyopo Mtama pale makao makuu ya jimbo wakati wakati kuna vijiji vingi sana ambavyo hata hao waleta mada hapa hawavifahamu na hata kusikia si ajabu hawajawahi kuvisikia! Don't forget, Lindi ni mkoa mkubwa sana kieneo!

Umemaliza yote! Bravo mkuu NasDaz
 
Last edited by a moderator:
Kumbe bao la mkono alilosema lilikuwa linamhusu yeye mwenyewe? Ama kweli Nape Nnauye amejitabiria bao!
 
Last edited by a moderator:
Uadilifu Wake Ni Sawa, Kama Ninyi CCM Mnavyomuona Mtakatifu Wenu!! Ila Kwa SERA, ILANI, ITIKADI NA DIRA NA MFUMO WA CHAMA CHAKE ( CCM). Hatudanganyiki Ng'oooo!! Yale Yale Ya 2005, Mliwadanganya WATANZANIA Kuwa Mh. Kikwete Ni Mtu Safi Na Muadilifu!! Akaja "ARI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA "Matokeo Yake Mkatusahaulisha MFUMO Wenu Mbovu!! Kilichotokea Ndio Hiki Leo Tunalala
 
Sorry Hii Simu Changamoto!! Network SHIDA Huku Kijijini Kwetu!! Ndio Hivi Tena Comments Zinatumbukia Siko!!
 
Tehe! Tehe! Tehe!! Asante SAANA Kwa HILO Nyomi La Nape!! Alafu Kwa Kusafiri Fuso Na Hilo Daladala WATU Wanawezaje KUTOKA Mkoa Mmoja Hadi Mwingine!! Hivi Sheria Gani Za Usalama Barabarani Zitakazoruhu Hilo Lifanyike Na Askari Hawa Tuwajuao Wawatazame Tu!! Ndorooobai!!! Teteeni Hoja Nape Hiyo!!
 
Back
Top Bottom