Jimbo la Mtama Nape hali mbaya

Jimbo la Mtama Nape hali mbaya

Imekula kwenu wapinzani ccm iko juu siku zote tutashinda kwa kishindo hamtaamini mtazimia kwa suprise saa hiz si mnakodi watu wa kuzimia??? Mtazimia kweli tena nyinyi wenyewe
 
Habari za siku jamaa yangu Prof Ngongo.

Naomba ufafanuzi kiduchu kuhusu Jimbo la Mtama, UKAWA wamesimamisha wagombea wawili.

Mgombea CUF-katika jimbo la-Mtama, Isihaka Mchinjita.

Na Mgombea wa Chadema jimbo la Mtama, Seleman Methew.

Sasa UKAWA watampigia kura nani?

Watampigia Nape.
 
heshima wanajamvi.

Hali ya kisiasa ya mjumbe wa halmashauri kuu ambae pia ni mc aka msema chochote wa halmashauri kuu ya ccm taifa ni mbaya sana.taarifa toka jimbo la mtama zinadokeza seleman methew anaongoza kwa mbali sana huku nape akiachwa nyuma sana.

Kura ya maoni iliyoendeshwa kwa mtindo wa kariakoo style zimebaisha seleman methew anaongoza kwa 89% huku nape akiambulia 7.5% tu.tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni nape amekuwa akisomba watu kutoka maeneo mengine kwa kuhofia mikutano yake kosa watu kabisa.

Tayari nape amejindaa kwa maisha mapya nje ya siasa,anatarajiwa kujikita zaidi katika biashara hasa za uvuvi,sanaa atakiomba chama chake achukue mikoba ya late capt komba na ushonaji wa sare za ccm chama kinachotarajiwa kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu 25/10/2015.

Nawasilisha.

acheni ushabiki kura za maoni hizo zimeenda kupigwa katika kata mbili ambazo selemani ndio kwao na anakubalika katika hizo kata mbili
 
Mkuu;

Kwa jinsi ninavyoelewa mimi, lile jimbo la Mtama mwenye mvuto mkubwa ni Mathew. Huyu alikuwa Diwani wa kata ya Vijibweni kigamboni kwa CCM, mwaka huu akaamua kwenda kugombea ubunge huko kwao Mtama. CCM wakamkata jina lake na kumpitisha Nape ambaye si mzawa wa Mtama. Hivyo wananchi walikuwa wanamtaka Mathew agombee kwa tiketi ya CCM, lakini baadaya matokeo ya kura za maoni. Wananchi wakamwambia mathew ajiunge na chama chochote nao watampigia kura huko. ndipo Mathew akajiunga na CHADEMA kisha wananchi walirudisha kadi za CCM zaidi ya wanachama 700.



Hivyo huko Mtama nape pamojana mgombea wa CUF wanajisumbua kwani mwenye mvuto kwa wananchi ni Mathew.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!


ACHENI USHABIKI KURA ZA MAONI HIZO ZIMEENDA KUPIGWA KATIKA KATA MBILI AMBAZO SELEMANI NDIO KWAO NA ANAKUBALIKA KATIKA HIZO KATA MBILI.Na huyo Mathew anatakiwa na baadhi ya watu wa mjini mmezoea mitandao kuwaongopea watu.mgombea wa cuf anakubalika na alijipanga siku nyingi na cuf wana viti vinggi vya serikali za mitaaa
 
Mkuu;

Kwa jinsi ninavyoelewa mimi, lile jimbo la Mtama mwenye mvuto mkubwa ni Mathew. Huyu alikuwa Diwani wa kata ya Vijibweni kigamboni kwa CCM, mwaka huu akaamua kwenda kugombea ubunge huko kwao Mtama. CCM wakamkata jina lake na kumpitisha Nape ambaye si mzawa wa Mtama. Hivyo wananchi walikuwa wanamtaka Mathew agombee kwa tiketi ya CCM, lakini baadaya matokeo ya kura za maoni. Wananchi wakamwambia mathew ajiunge na chama chochote nao watampigia kura huko. ndipo Mathew akajiunga na CHADEMA kisha wananchi walirudisha kadi za CCM zaidi ya wanachama 700.



Hivyo huko Mtama nape pamojana mgombea wa CUF wanajisumbua kwani mwenye mvuto kwa wananchi ni Mathew.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Mtama wamepewa CUF kupitia UKAWA.
Baada ya Mathew kukatwa CCM Pinda na Nape wakampanga Mathew ajionyeshe amehama CCM ili ajiunge CHADEMA na kuchukua fomu kwa lengo la kuwagawa wapiga kura wa UKAWA. Lakini wamefeli wapigakura wamestukia dili lao. Nape kapoteza atabaki huko huko MC
 
Mheshimiwa uungwana kwa taarifa yako kura zimepigwa kata za Mtama,Rondo,Mtua na Nyangao.

acheni ushabiki kura za maoni hizo zimeenda kupigwa katika kata mbili ambazo selemani ndio kwao na anakubalika katika hizo kata mbili
 
Last edited by a moderator:
Nape ana hela nyingi hata akishindwa ataishi. Pesa alizovuna na Kinana kwa kampeni ya kutafuta mawaziri mizigo feki na alizokwapua kwenye kampeni za magufuli hadi akashtukiwa zinamtosha kabisa labda aziharibu mwenyewe kwa kutaka kushindana na ukawa jimboni

Pia pesa za marehemu Gadafi kapewa mgao na Membe huku akiwa kamnunulia kijumba Dubai cha kwenda kujificha pindi ccm iking'oka
 
BWANA ISHAQA MCHINJITA ndiye mgombea halali wa UKAWA kupitia Chama cha CUF. Mtama wamepewa CUF kupitia UKAWA.
Baada ya Mathew kukatwa CCM Pinda na Nape wakampanga Mathew ajionyeshe amehama CCM ili ajiunge CHADEMA na kuchukua fomu kwa lengo la kuwagawa wapiga kura wa UKAWA. Lakini wamefeli wapigakura wamestukia dili lao. Nape kapoteza atabaki huko huko MC

Mchinjita songa mbele sisi tunataka maendeleo jimbon mtama
 
Nape kaiba pesa nyingi sana za chama kwa kisingizio cha kuiboresha band ya TOT
 
Hali ya John Mnyika Kibamba na James Mbatia Vunjo sio shwari, ni dhahiri sasa watu hawa wameshapoteza majimbo haya kutokana na wananchi kutokuwakubali kabisa.
 
Ccm mpango wao wakununua watu umestukiwa. Watafute mbinu ya goli la mkono.
Au wataisoma CUF mtama
 
Hali ya John Mnyika Kibamba na James Mbatia Vunjo sio shwari, ni dhahiri sasa watu hawa wameshapoteza majimbo haya kutokana na wananchi kutokuwakubali kabisa.
Labda kwa mnyika lakini kwa mbatia yupo vizuri anakimbiza vibaya
 
Yaani ccm ikishinda mtama itakuwa ni muujiza mkuu toka kuumbwa kwa dunia.
 
Acheni kubadili mada.
Mambo ya mnyika, mbatia kwenye Uzi huu yanakujaje
Au Ndo kuishiwa hoja????????
 
Heshima wanajamvi.

Hali ya kisiasa ya mjumbe wa halmashauri kuu ambae pia ni MC aka msema chochote wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ni mbaya sana.Taarifa toka jimbo la Mtama zinadokeza Seleman Methew anaongoza kwa mbali sana huku Nape akiachwa nyuma sana.

Kura ya maoni iliyoendeshwa kwa mtindo wa Kariakoo style zimebaisha Seleman Methew anaongoza kwa 89% huku Nape akiambulia 7.5% tu.Tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni Nape amekuwa akisomba watu kutoka maeneo mengine kwa kuhofia mikutano yake kosa watu kabisa.

Tayari Nape amejindaa kwa maisha mapya nje ya siasa,anatarajiwa kujikita zaidi katika biashara hasa za uvuvi,sanaa atakiomba chama chake achukue mikoba ya Late Capt Komba na ushonaji wa sare za CCM chama kinachotarajiwa kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu 25/10/2015.

Nawasilisha.
Angali hii Video, INAKUSUTA

CCM Blog: NAPE AWASAMBARATISHA UKAWA MTAMA
 
Rondo hawataki kusikia jina la Nape wanasema alikuwa wapi siku zote,kwanza ni mkaazi wa Dar aligombea Ubungo akashindwa amekuja kutafuta nini Mtama ?.
 
Back
Top Bottom