Jimbo la Moshi vijijini halina mpinzani

Jimbo la Moshi vijijini halina mpinzani

ila kajitahidi madaraja yamejengwa kasoro ndogondogo atazisahiisha
 
Hahahahahahaa........Uru, Kibosho, Machame.....hii ni shiiiiidaaaa!!!!
 
mbuge asiekua na makuu maendeleo kila kona barabara za lami hospitali zinaboreshwa usalama umeboreshwa dhana ya tullinde misitu yetu imesimamiwa mungu ametupa genios tumshukiru

Hahahaha!

Hapo kwenye RED patamu. Unaongea au unaota? Au kwa kuwa unadhani huku hatujui kinachoendelea?

Njaa zako zitakuua kaka.
 
Kwa nini lisiwe na mpinzani? Kwani haujui Kamanda Komu yupo? Hatutaki wezi wa CCM
 
Komu ana sifa ya kuongoza hata mtaa asubiri jimbo la uru aahhh chezea chamiii tatizo watu wavivu vijijini rasilimali kibao tujifunze kutoka kwa wengine viroba gongo tukae mbali nayo
 
Kiboko yake chami ni wakili maarufu na msom albater msando kubali kataa lzm atamshikisha adabu
 
Kubali kataa kiboko yake chami ni wakili msom albert msando
 
Jamani maendeleo si midomoni akika chami apongezwe
 
Back
Top Bottom