acha ujinga we.we ni mp.mb.avu. Lazima apigwe chini namimi niko huku.
mjasiriamali Apolinary sijakuelewa mkuu.
sehem ambayo chami atakayo pata kura ni kijijini kwake manushi sinde,kahe, chekereni, uru mwasi,
hivi vijiji hasahau kabisa kindi yote kwa maana kwamba sambarai, dungi boro, mpaka kindi juu.
Umbwe kwa maana kwamba mkombole, uri, mawalenh, mkosaki, mango, utaruni, mseseweni na maeneo mengine.
Tatizo la moshi vijijini ni kwamba wapiga kura wake wengi wapo mijini kwa hiyo wakati huu wa kuboresha daftari la wapiga kura nendeni mkajiandikishe nyumbani kwenu ili kama mnahitaji mabadiliko muweze kuyafanya. Ukweli kuhusu Chami hawezi kumsaidia mtu yoyote wa chini hadi wakati wa kuomba kura. Unachezea mtu kuwa mbunge kwa kura 3500!
Kura za Maoni ccm
au kura za Wapiga kura mkuu.