Jimbo la Mikumi kukombolewa

Jimbo la Mikumi kukombolewa

licha ya mapungufu mnayo yasema namuamini Nkya kama MTU mwema sijawah ona!
Huu ndio ukweli!
 

Asante sana kwa matusi yako. Hunijui na sikujui. Naomba si lazima kwako kusoma maandishi yangu. Ukikuta jina la Mizambwa naomba pita bila kusoma nimeandika nini.


Sina muda wa kuongea na watoto ambao bado wananuka maziwa ya mama zao midomoni na bado wanavaa pumpers!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Umeeleweka dada
 
licha ya mapungufu mnayo yasema namuamini Nkya kama MTU mwema sijawah ona!
Huu ndio ukweli!

Amen mkuu
Hao ni wanafiki na wanna majungu

hawana lolote hao

Nkya n mtu makini
na sahihi kwa jimbo la mikumi
 
Kilichotokea mikumi ni hofu tu ya mkurugenzi wa kilosa na halmashauri yake katika suala la kutafuna pesa za serikali

Walimuogopa jonas nkya kwasababu ya uwakili wake wakaona atawabana katika suala zima la utafunaji wa pesa
Kwasababu kila kata ambapo kulikuwa na diwan msomi walikuwa wanahakikisha wanampiga chini na kuweka hao vilaza ili kulahisisha ulaji maana kila mwaka halmashauri ya kilosa ndio huandikiwa hati chafu kwa kutafuna pesa


Lakini mabogus wasiojua wat was the mission behind waashangilia UJINGA
 
Tulien nyie vijipu mtumbuliwe

We godfley unajulikana ni mtumishi wa halmashauri ya kilosa
Na ndio mliozipika hizo data
Ili muendelee kupiga dili za hapo halmashauri ya kilosa inayoongoza kwa hati chafu

Tunajua hamtaki nkya kwasababu ni wakili mnaogopa atakwamisha mambo yenu hapo

Tulieni hivo hivo hapo halmashauri
Jipu linatumbuliwa mda s mrefu

Unaongea ujinga gani pumbavu wewe!
 
Back
Top Bottom