SPANERBOY UDZUNGWA
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 622
- 125
Achilia mbali makaratasi feki mliyopeleka mahakamani, yan huyo jamaa hata uchaguzi ukirudiwa mara nne hawez kushinda.
Mikumi hata wakisimamisha jiwe chaDeMa inashinda
Achilia mbali makaratasi feki mliyopeleka mahakamani, yan huyo jamaa hata uchaguzi ukirudiwa mara nne hawez kushinda.
Asante sana kwa matusi yako. Hunijui na sikujui. Naomba si lazima kwako kusoma maandishi yangu. Ukikuta jina la Mizambwa naomba pita bila kusoma nimeandika nini.
Sina muda wa kuongea na watoto ambao bado wananuka maziwa ya mama zao midomoni na bado wanavaa pumpers!!!!!!
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Tulien nyie vijipu mtumbuliwe
We godfley unajulikana ni mtumishi wa halmashauri ya kilosa
Na ndio mliozipika hizo data
Ili muendelee kupiga dili za hapo halmashauri ya kilosa inayoongoza kwa hati chafu
Tunajua hamtaki nkya kwasababu ni wakili mnaogopa atakwamisha mambo yenu hapo
Tulieni hivo hivo hapo halmashauri
Jipu linatumbuliwa mda s mrefu