Jimbo la Mikumi kukombolewa

Jimbo la Mikumi kukombolewa

Lana ya kutapeli watu magari itamtafuna milele ameliza wengi sana jamaa wa sua kawa chizi m25 na hakumletea gari!!!!
 
Maana maccm yanawabagua wachagga wameru na watu wa kaskazini wanaita kila mtu mchagga(kama ni kamanda wa cdm)leo hii mnajeuka kumtaka mkaskazini naona akiwa ccm si mchagga na hatoki kaskazini-Napinga sana ukabila na ukanda ila nawakumbusha tu CCM na lugha zenu za chaggadema nk.Huyo Nkya angegombea CDM mngenza na mineno ya kibaguzibaguzi kama makaburu
 
Tulien nyie vijipu mtumbuliwe

We godfley unajulikana ni mtumishi wa halmashauri ya kilosa
Na ndio mliozipika hizo data
Ili muendelee kupiga dili za hapo halmashauri ya kilosa inayoongoza kwa hati chafu

Tunajua hamtaki nkya kwasababu ni wakili mnaogopa atakwamisha mambo yenu hapo

Tulieni hivo hivo hapo halmashauri
Jipu linatumbuliwa mda s mrefu

Kwani wakati huyo Godfrey anapiga hizo pesa za Halmashauri Je ni nani alikuwa Mbunge wa Mikumi enzi hizo???

Je, huyu Nkya ataleta mabadiliko gani ikiwa wakati pesa zinatafunwa alikuwepo yule yule wa MFUMO CCM????

Acha kuweweseka wewe mwambieni anamaliza pesa zake bure za kustaafu, heri akalime Melela bado kuna mashamba
 
Ni ule wizi, ulaghai na usanii uliofanywa na mgombea wa UKAWA, Joseph Haule kwa kushirikiana na mkurugenzi wa Kilosa kwa kuedit fomu ya matokeo ya mkurugenzi ya ubunge halisi ya jimbo la Mikumi.Huku wakisahau kwamba kuna fomu zingine hubakia kwa kila karani wa chama cha siasa.Sasa ulaghai huo umepingwa mahakamani na wapenda haki tunasubiri kwa hamu kuona haki ikitendeka jimboni hapa mikumi.

Matokeo halisi ni mgombea wa CCM.

Wakili Jonas Nkya alimzidi msanii Joseph Haule kwa tofauti ya kura 1,130

#hatuwezi kuongozwa na mtu ambae hatukumchagua.
we hangaika lakini mwisho wake utavuna aibu ! ccm iibiwe kura ! nkya hawezi kumshinda profesa j hata mkipiga kura mara 100 .
 
Maana maccm yanawabagua wachagga wameru na watu wa kaskazini wanaita kila mtu mchagga(kama ni kamanda wa cdm)leo hii mnajeuka kumtaka mkaskazini naona akiwa ccm si mchagga na hatoki kaskazini-Napinga sana ukabila na ukanda ila nawakumbusha tu CCM na lugha zenu za chaggadema nk.Huyo Nkya angegombea CDM mngenza na mineno ya kibaguzibaguzi kama makaburu
wala usihangaike mkuu , huyu navy boi ni mshika mafaili wa Nkya , sasa mashaka yake ni kibarua chake .
 
Last edited by a moderator:
Kabisa unajua wabunge wa ccm alimiakubwa wamepita kwa kuchakachua matokeo rumumba wamewaambia wabunge wao wa ccm naowaende mahakamani kupinga matokeo ili iyonekane vyama vyote vimeenda mahakamani ndio ya hariharis ndugu zangu
 
Kwani wakati huyo Godfrey anapiga hizo pesa za Halmashauri Je ni nani alikuwa Mbunge wa Mikumi enzi hizo???

Je, huyu Nkya ataleta mabadiliko gani ikiwa wakati pesa zinatafunwa alikuwepo yule yule wa MFUMO CCM????

Acha kuweweseka wewe mwambieni anamaliza pesa zake bure za kustaafu, heri akalime Melela bado kuna mashamba

Mfano mdogo tu

Rais alietoka madarakan n wa ccm
Na aliepo ni wa ccm
Lakin mabadiliko unayaona

Tuma ubongo kufikiri
 
This sill so called Navy boi!!!
1.According to me the name matters..Jiulize unaitwa nani na nini maana ya jina lako???
2.Kama umelipwa kuja kuuliza na kijijibu huku baada ya kunywa viroba kalale!!!!
3.Arguments zako zinanifanya niulize kiwango cha ELIMU YAKO!!!
NB:
KAMA ULIELIMIKA...JE ULIPEWA,ULIONGA au ULIDANGANYA KUPATA!!! IQ YAKO KAMA YA CHEKECHEA I THINK..
 
Usijali mkuu
Wataisoma namba kama kawaida
Hivi kweli unamtetea huyuhuyu aliyekuwa akinunua mitihani tukiwa pale Mzumbe
Huyu huyu aliyekuwa akiuza nyumba za mama yake hadi wanataka kupigana bastolaaaa???
Huyuhuyu anaetapeli watu magari hapa moro????????????????????????????????????????????

Huyuhyu tapeli wa Moro aliepeleka pesa zote kwenye siasa na hazijazaa matunda???
Nafahamu mmepeleka makaratasi feki mahakamaniiii, hata uchaguzi ukirudiwa mara elfu kumi huyu kanjanja wako hapatikitu
 
Endelea kuweweseka tu
Ushahidi upo
Yeye mwenyewe n wakili
Sasa unasema huyo wakili anamlia hela
Hahaa
huku n kupanik

Tusiongee sana
Kesi iko mahakamani
tusubiri
na haki itatendeka.

We badala ya kumshauri mwenzio vizuri unazidi kumuangamiza tu,nyie ndio wale wale wapigaji tu,unampiga hata rafiki yako Jonas Nkya tipwatipwa??,hilo jimbo hata atambike wapi hawezi kulichukua
 
uliza watu wa moro mjini kuhusu wasifu wa huyo nkya na utapeli wa magari.huo uwakili wake kesi gani alishiriki na akashinda?

Bora na wewe umeliona hili mkuu,huyu jamaa ni tapeli wa magari halafu eti apewe na Ubunge,akiwatapeli na wananchi wa Kilombero je??,mtu mwenyewe pia nyumbani kwao miaka kama mmoja au miwili iliyopita inasemekana kuwa alikutwa nyumbani kwao na mzigo wa wizi wa madini ya Kopa,inasemekana waliteka lori lilikuwa linatoka Zambia kuja Tz na mzigo wakauficha kwao nyumbani kwa mama yake,kipindi kile mama yake alikuwa ni Waziri kama siokosei wa Afya au Naibu Waziri,ilikuwa mshike mshike nguo kuchanika hapa moro,alihonga sana hadi akaachiwa na mzigo akautema kwa mwenyewe manake naye alikuwa ni shababi balaa,kwa kifupi dogo ana tamaa ya utajiri sana,akipewa uongozi atakuwa mpiga madili tu,hatuhitaji viongozi wa dizaini hiyo,hizi sio zama za mkwere na marafiki zake
 
Ni ule wizi, ulaghai na usanii uliofanywa na mgombea wa UKAWA, Joseph Haule kwa kushirikiana na mkurugenzi wa Kilosa kwa kuedit fomu ya matokeo ya mkurugenzi ya ubunge halisi ya jimbo la Mikumi.Huku wakisahau kwamba kuna fomu zingine hubakia kwa kila karani wa chama cha siasa.Sasa ulaghai huo umepingwa mahakamani na wapenda haki tunasubiri kwa hamu kuona haki ikitendeka jimboni hapa mikumi.

Matokeo halisi ni mgombea wa CCM.

Wakili Jonas Nkya alimzidi msanii Joseph Haule kwa tofauti ya kura 1,130

#hatuwezi kuongozwa na mtu ambae hatukumchagua.

Wakili Msomi rekebisha kauli yako. Ukimsema hamuwezi kuongozwa na mtu ambaye hamkumchagua, unataka kusema kuwa hata wale ambao hawakumchagua Magufuli basi nao wasimheshimu kama rais wao.

Hoja yako ilipaswa kubeba ujumbe wa kupinga wizi wa kura.
 
Mkurugenzi wenu,
Police wenu,
Nec yenu,
Mkuu wa wilaya/mkoa wenu

Eti prof.alidanganya?huu ni ujinga uliopitiliza.Ukiona mahali ambapo mbunge wa upinzani utambue kuwa njia zote za kuchakachua zilishindikana,polisi walishindwa,na vyombo vyote vya dola.
 
Ni ule wizi, ulaghai na usanii uliofanywa na mgombea wa UKAWA, Joseph Haule kwa kushirikiana na mkurugenzi wa Kilosa kwa kuedit fomu ya matokeo ya mkurugenzi ya ubunge halisi ya jimbo la Mikumi.Huku wakisahau kwamba kuna fomu zingine hubakia kwa kila karani wa chama cha siasa.Sasa ulaghai huo umepingwa mahakamani na wapenda haki tunasubiri kwa hamu kuona haki ikitendeka jimboni hapa mikumi.

Matokeo halisi ni mgombea wa CCM.

Wakili Jonas Nkya alimzidi msanii Joseph Haule kwa tofauti ya kura 1,130

#hatuwezi kuongozwa na mtu ambae hatukumchagua.

hatuwezi kuongozwa na mchaga ,joseph haule ndio chaguo letu.
 
Back
Top Bottom