navy boi
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 1,520
- 482
Ni ule wizi, ulaghai na usanii uliofanywa na mgombea wa UKAWA, Joseph Haule kwa kushirikiana na mkurugenzi wa Kilosa kwa kuedit fomu ya matokeo ya mkurugenzi ya ubunge halisi ya jimbo la Mikumi.Huku wakisahau kwamba kuna fomu zingine hubakia kwa kila karani wa chama cha siasa.Sasa ulaghai huo umepingwa mahakamani na wapenda haki tunasubiri kwa hamu kuona haki ikitendeka jimboni hapa mikumi.
Matokeo halisi ni mgombea wa CCM.
Wakili Jonas Nkya alimzidi msanii Joseph Haule kwa tofauti ya kura 1,130
#hatuwezi kuongozwa na mtu ambae hatukumchagua.
Matokeo halisi ni mgombea wa CCM.
Wakili Jonas Nkya alimzidi msanii Joseph Haule kwa tofauti ya kura 1,130
#hatuwezi kuongozwa na mtu ambae hatukumchagua.