Huyu mzee amekwisha habari yake. Yaani amechanganyikiwa ile mbaya, alafu jamaa hapo juu bampami ni mbeba viroba.Mzee akili yake mbovu sana, hata walinzi wote wa bongo ni wamasai kwa maana ya hali mbaya ya kiuchumi, ni akili mbovu mbovu kumwamini mtu kama huyo!
Huyo hafai hata kuwa mkuu wa kijiji. Ushahid tosha upo jimboni kwake kwenye nyumba za Tembe na ukuta za mavi ya Ng'ombe.kama ameshindwa hata jimboni kwake,ni very hopellesss
Ndio mageuzi anata kuyaleta Tanzania.Hahahahaaa.......
Wenzake wanakunywa mkojo wa punda...
Ndio mageuzi anata kuyaleta Tanzania.
Hata mseme nini mabadiliko yapo pale pale
Watanzania hawapo tayari kunywa mikojo ya Ng'ombe.Hata mseme nini mabadiliko yapo pale pale