Jimbo la Kisesa hakuna aliyechukua form ya ubunge, wanamtaka Luhaga Mpina tu

Jimbo la Kisesa hakuna aliyechukua form ya ubunge, wanamtaka Luhaga Mpina tu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Wakati wa Jimbo la Kisesa hawajachukua fomu ya ubunge hadi Leo

Wanachama wa CCM wameshinikiza Mpina ndo agombee pekee

Mwenyekiti wa CCM Taifa alimwita Luhaga Mpina kuwa ni mbunge wa Taifa na sio mbunge wa Kisesa na huwa hawatetei wananchi wa Kisesa

Pia Mwenyekiti wa CCM alisisitiza wananchi wasimrudishe bungeni

Baadaye Mpina akamjibu kuwa anafurahia kupandishwa cheo na kuitwa mbunge wa Taifa

Wananchi hawakufurahia kauli hiyo na mpaka Sasa kutoka Kwa karibu wa CCM Jimbo la Kisesa hakuna mwana CCM yeyote aliyebeba form

Hii ndo Kanda ya ziwa
Watu wana misimamo yao
 
Wakati wa Jimbo la Kisesa hawajachukua fomu ya ubunge hadi Leo

Wanachama wa CCM wameshinikiza Mpina ndo agombee pekee

Mwenyekiti wa CCM Taifa alimwita Luhaga Mpina kuwa ni mbunge wa Taifa na sio mbunge wa Kisesa na huwa hawatetei wananchi wa Kisesa

Pia Mwenyekiti wa CCM alisisitiza wananchi wasimrudishe bungeni

Baadaye Mpina akamjibu kuwa anafurahia kupandishwa cheo na kuitwa mbunge wa Taifa

Wananchi hawakufurahia kauli hiyo na mpaka Sasa kutoka Kwa karibu wa CCM Jimbo la Kisesa hakuna mwana CCM yeyote aliyebeba form

Hii ndo Kanda ya ziwa
Watu wana misimamo yao
Km hakuna aliyechukua fomu, ina maana hata Mpina mwenyewe hajachukua fomu
 
Kule Usukumani hakuna mchezo, wakikuamulia huendi dakika nyingi, kwa wenye kumbukumbu mnakumbuka Hekaya ya Shashu Lugeye kuwapukutisha John Mgeja na Bhiku Mohammed jimbo la Solwa..
 
Wakati wa Jimbo la Kisesa hawajachukua fomu ya ubunge hadi Leo

Wanachama wa CCM wameshinikiza Mpina ndo agombee pekee

Mwenyekiti wa CCM Taifa alimwita Luhaga Mpina kuwa ni mbunge wa Taifa na sio mbunge wa Kisesa na huwa hawatetei wananchi wa Kisesa

Pia Mwenyekiti wa CCM alisisitiza wananchi wasimrudishe bungeni

Baadaye Mpina akamjibu kuwa anafurahia kupandishwa cheo na kuitwa mbunge wa Taifa

Wananchi hawakufurahia kauli hiyo na mpaka Sasa kutoka Kwa karibu wa CCM Jimbo la Kisesa hakuna mwana CCM yeyote aliyebeba form

Hii ndo Kanda ya ziwa
Watu wana misimamo yao
Mgombea wetu atachukua na kurudisha form siku ya mwisho. Mtashangaa.
 
Wakati wa Jimbo la Kisesa hawajachukua fomu ya ubunge hadi Leo

Wanachama wa CCM wameshinikiza Mpina ndo agombee pekee

Mwenyekiti wa CCM Taifa alimwita Luhaga Mpina kuwa ni mbunge wa Taifa na sio mbunge wa Kisesa na huwa hawatetei wananchi wa Kisesa

Pia Mwenyekiti wa CCM alisisitiza wananchi wasimrudishe bungeni

Baadaye Mpina akamjibu kuwa anafurahia kupandishwa cheo na kuitwa mbunge wa Taifa

Wananchi hawakufurahia kauli hiyo na mpaka Sasa kutoka Kwa karibu wa CCM Jimbo la Kisesa hakuna mwana CCM yeyote aliyebeba form

Hii ndo Kanda ya ziwa
Watu wana misimamo yao
Bado wanajipanga watachukua tu. Yupo jamaa anaitwa GAMBAMALA very HOT
 
Back
Top Bottom