Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 533
- 1,225
Baada ya kuona Baba Levo ameteuliwa kuipeperusha bendera ya chama cha Mapinduzi kulitetea jimbo la Kigoma Mjini, hili limenifanya niamini kwa 100% kuwa kuna majimbo yameandaliwa kwa ajili ya ACT Wazalendo na CHAUMMA.
Kwa akili ya kawaida sioni ni nini CCM wamekilenga kwa Baba Levo zaidi ya kumpotezea muda, hela zake alizokusanya kwenye uchawa na kamali. Ni dhahiri kwamba jimbo la Jimbo la Kigoma Mjini linakwenda kwa Zitto Zuberi Kabwe.
Jimbo jingine ni jimbo la Tanga Mjini hili pia ni zawadi kwa CHAUMMA/ACT
Ushauri wangu kwa baba Levo, nakuomba sana usitoe hata mia yako kwa ajili ya kampeni. Hakuna unachoenda kupata zaidi ya umaarufu. Nakuomba tunza hela yako uliyoipata kwa kujidhalilisha usiwapelekee wahuni, wenzio wanaenda kupaua nyumba zao, wewe utarudi kuuza boma lako.
Kwa akili ya kawaida sioni ni nini CCM wamekilenga kwa Baba Levo zaidi ya kumpotezea muda, hela zake alizokusanya kwenye uchawa na kamali. Ni dhahiri kwamba jimbo la Jimbo la Kigoma Mjini linakwenda kwa Zitto Zuberi Kabwe.
Jimbo jingine ni jimbo la Tanga Mjini hili pia ni zawadi kwa CHAUMMA/ACT
Ushauri wangu kwa baba Levo, nakuomba sana usitoe hata mia yako kwa ajili ya kampeni. Hakuna unachoenda kupata zaidi ya umaarufu. Nakuomba tunza hela yako uliyoipata kwa kujidhalilisha usiwapelekee wahuni, wenzio wanaenda kupaua nyumba zao, wewe utarudi kuuza boma lako.