Jimbo la Igunga Mkoa wa Tabora

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,895
940

JIMBO LA IGUNGA

Tumepokea Fedha kutoka Serikalini kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ya Sekta ya Elimu kwa mchanganuo ufuatao;

Tshs. 814,900,000/- za Ujenzi wa Shule Mpya za Msingi na Urekebishaji

Shule ya Msingi Buyumba (Kata ya Igunga)
  • Ujenzi wa Madarasa 3 @ 26,000,000/- = 78,000,000/-
  • Matundu 3 ya Vyoo @ 2,200,000/- = 6,600,000/-
  • Jumla ya Fedha 84,600,000/-

Shule ya Msingi Hanihani (Kata ya Igunga)
  • Ujenzi wa Madarasa 2 @ 26,000,000/- = 52,000,000/-
  • Matundu 3 ya Vyoo @ 2,200,000/- = 6,600,000/-
  • Jumla ya Fedha 58,600,000/-

Shule ya Msingi Jitegemee (Kata ya Igunga)
  • Ujenzi wa Shule Mpya, Mikondo 02 = 561,100,000/-
  • Jumla ya Fedha 561,100,000/-

Shule ya Msingi Mwabalaturu (Kata ya Itunduru)
  • Ujenzi wa Madarasa 4 @ 26,000,000/- = 104,000,000/-
  • Matundu 3 ya Vyoo @ 2,200,000/- = 6,600,000/-
  • Jumla ya Fedha 110,600,000/-

Tunaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutupatia Fedha za Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo Letu.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
1 Aprili, 2023
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-04-01 at 14.06.02.jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-01 at 14.06.02.jpeg
    91.3 KB · Views: 8

Similar Discussions

Back
Top Bottom