Jimbo la Arusha mjini LIPO WAZI 2015.

Jimbo la Arusha mjini LIPO WAZI 2015.

...Hatutaki Mbunge wa kuonyesha Picha zake za utupu Jukwaani, tunataka mbunge wa kutuwakilisha bungeni.
 
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.

Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.

Kidumu chama cha mapinduzi

Unazungumzia Arusha ipi?. Wewe utakuwa wamekwisha kukuharibu. We sio rizki.
 
Lema yuko kwenye zama zake za mwisho kabisa za ubunge, vijana wanasema akagombee ubunge huko kwao machame, ili atuachie Arusha yetu ikiwa na amani kama alivyoikuta.

kamuweke Jk Halafu chadema waweke jiwe tuone
 
Jipange ukaingie wewe na magamba wenzio alafu mfunge mlango kabisa ili lisikae wazi tena na mligeuze pango la walanguzi tena kama zamani.Au wewe unaonaje!
 
Lema akawakilishe MACHAME, nadhani wamachame wanahitaji ukombozi zaidi ya wana arusha!
 
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.

Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.

Kidumu chama cha mapinduzi

Subiri jibu lenye utafiti na takwimu za kutosha mwanzoni mwa mwezi wa pili katika uchaguzi wa diwani kata ya SOMBETINI hapo ndipoo kiu ya shaka uliyonayo itakauka kabisa
 
Najitahidi nisikutukane nakaribia kushindwa. Wacha nitoke. We semea huku lakini usithubutu kutamka haya Arusha. Utatutambua.
 
Tanzania tuna kazi kama Lema hatakuwa mbunge kwa we kutumia keyboard unaanzisha threats za utafiti wangu je wa wengine unasemaje
 
Lema yuko kwenye zama zake za mwisho kabisa za ubunge, vijana wanasema akagombee ubunge huko kwao machame, ili atuachie Arusha yetu ikiwa na amani kama alivyoikuta.

Arusha kugumu kuna wakati amikuwapo kinana baadae makongoro kupitia nccr alkuwapo thn ccm wakalirudisha na uchaguzi wa mwisho lema ali chukua
Lakini fujo na vitisho vilifanya watu wengi wastaarabu wasiopenda fujo kutopiga kura arusha na mdio iliyo waathiri ccm na pia njoa nyengine ni kwa chadema kuvikomalia kwa vitisho vituo vya kura na ccm waka gwaya hatimae lema alashinda
Naamini kama mji wa arusha watu wake wenye bishara zao na kazi zao lema hawezi kuwa chaguo lao ni kwa ccm kujipanga muweka mtu makini na lazima wakubali jino kwa jino ndio silaha basi watashinda
 
Ikulu pia iko wazi 2015, ndugu yetu Dr slaa anajua madhira ya watanzania
 
Back
Top Bottom