Habari wajameni!
Hapa maeneo ninapoishi kuna mama limoja hivi linaonesha linanipenda maaana?
Akinikuta pub nakunya vi castle lite vyangu viwili lazima aje akae kwenye meza yangu mala ohoo we mkaka mstaarabu mala mbona siku hizi huonekani story zina noga sada jana nimempeleka hadi kwake mida ya saa tatu usiku akaniambia niingie ndani tumefika sebuleni kamuita house girl akanunue bia nyingine tena....sikua na hofu kwani huyo mdada yupo singo alafu hana mtoto na nyumbani kwake anaishi yeye na house girl tuu amejenga mtaa mmoja na home basi tumekunywa kama nne nne hivi mwenzaku ananiitia chumbani kuona hivyo nikamuaga h/girl naenda dukani sikurudi asubui amenipa lift kituoni kalalamika sana kwanini jana sikumuaga