ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,826
LomoniMnakunywa pombe gani
Mimi hakuna mwiba ninaouogopa kama wa katani. Ule mwiba nikiuangalia tu hua mwili unanisisimka hasa baada ya kuhadithiwa kwamba watu wengi waliofanya kazi kwenye mashamba ya mikonge walitoka wakiwa chongo!Wakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
Nazungumzia mfupaInategemea na species, more than 80% ya species za nyoka ni non venomous
Maisha ya No-Stress (Tungi after Tungi) mpaka ikifika jioni umeoza Ng'eeeeeeeeeeeeh.
Nyoka wa Duniani ila Tanzania 80% Wana sumu mpaka wengine wazungu hawazijui, Mfano ni yule wa Usambara na Upareni mwenye kopeInategemea na species, more than 80% ya species za nyoka ni non venomous
Club Cha pombe == kilabu Cha pombeWakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
anavunja heshma ya club sio😂😂Club Cha pombe == kilabu Cha pombe
Acha ubish mkuuNyoka wa Duniani ila Tanzania 80% Wana sumu mpaka wengine wazungu hawazijui, Mfano ni yule wa Usambara na Upareni mwenye kope
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Kuna mzee mmoja almaarufu mzee Kariakoo pale Tegeta kibaoni, alichomwa na mwiba wa samaki kooni, ikawa ndio safari yake mazimaWakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
Wewe ni mwarusha?