Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Pole sana
Una kiherehere sana....unashindwa kuanzisha Uzi wako ucomment mitazamo yako kadri unavyoweza hadi uvamie nyuzi za watu? Ubishi peleka CHADEMAAcha kutaka kutawala akili za watu.
Hakuna mtu niliyembishia. Nimeandika mtazamo wangu.
unakuga mjuajiHii stori kuna vitu havijakaa sawa. Huwezi kuwa umezingirwa na moto halafu uwe macho unaingia na kutoka.
Mtu aliyeungua kiasi hicho hawezi kuongea na kukupa stori namna hii.
Yaani kuna watu mnajikuta wajuaji mpaka mna boa kumbuka kwenye ajali unaweza kuwa jasiri baadae ndipo unajiuliza hivi niliwezaje kutenda yaleHii stori kuna vitu havijakaa sawa. Huwezi kuwa umezingirwa na moto halafu uwe macho unaingia na kutoka.
Mtu aliyeungua kiasi hicho hawezi kuongea na kukupa stori namna hii.
🤣🤣🤣 dah . Mkuu muacheUna kiherehere sana....unashindwa kuanzisha Uzi wako ucomment mitazamo yako kadri unavyoweza hadi uvamie nyuzi za watu? Ubishi peleka CHADEMA
Uzi ukitaka tusikomenti uwe unaubandika chumbani kwako.Una kiherehere sana....unashindwa kuanzisha Uzi wako ucomment mitazamo yako kadri unavyoweza hadi uvamie nyuzi za watu? Ubishi peleka CHADEMA
Watu kama hawa huwa hawakosi mkuu, ujumbe wa muhimu unaeleweka na una funzo kubwa tu lakini mtu anakomaa na kukosoa uandishiChukua ujumbe
Hayo mengine achana nayo
Dah inawezekana hujawahi kuwa na mgonjwa aliyeungua moto mkuu,mi nishauguza ndugu yangu wa karibu hapo hapo sewahaji,ile hodi ilikuwa imejaa wagonjwa wa moto na wote walikuwa wanapiga story vizuri tu ila kila cku alikuwa anaondoka mmoja mmoja,ndugu yangu ambaye nilimuona kabisa anaweza kusurvive alifariki baada ya kukaa miezi miwili,kimsingi ukishaungua zaidi ya asilimia 40 lazima ufe tu hata kama watu watakuona mzima sababu kuna vital organs hazitafanya kazi tena.Hii stori kuna vitu havijakaa sawa. Huwezi kuwa umezingirwa na moto halafu uwe macho unaingia na kutoka.
Mtu aliyeungua kiasi hicho hawezi kuongea na kukupa stori namna hii.
Watanzania tabia ya kutumia akili ilikufa kabisa na ndio maana maendeleo yanachelewa.Yaani kuna watu mnajikuta wajuaji mpaka mna boa kumbuka kwenye ajali unaweza kuwa jasiri baadae ndipo unajiuliza hivi niliwezaje kutenda yale
Nimekuelewa mkuu. Ila aliyeleta hii stori amefanya exaggeration nyingi sana. Mtu ambaye amezingirwa na moto hawezi kuingia na kutoka ndani mara tatu. Halafu ikawaje macho yakawa bado yanaona?Dah inawezekana hujawahi kuwa na mgonjwa aliyeungua moto mkuu,mi nishauguza ndugu yangu wa karibu hapo hapo sewahaji,ile hodi ilikuwa imejaa wagonjwa wa moto na wote walikuwa wanapiga story vizuri tu ila kila cku alikuwa anaondoka mmoja mmoja,ndugu yangu ambaye nilimuona kabisa anaweza kusurvive alifariki baada ya kukaa miezi miwili,kimsingi ukishaungua zaidi ya asilimia 40 lazima ufe tu hata kama watu watakuona mzima sababu kuna vital organs hazitafanya kazi tena.
Hapa JF tunatumia akili kuchambua mambo. Usiwe unaacha akili zako nje ukija hapa.unakuga mjuaji