Jijinla Dar linapita katika kipindi kigumu sana kimaadili

Oct 26, 2018
58
139
Habari mbaya huvuma sana kuliko habari njema.

Miaka ya nyuma ilikua fahari sana mtu kutambulika kama mwenyej wa Dar hasa unapokuwa katika maeneo mengine hapa nchini tanzagiza huku mbwembwe na mikogo vikitawala dhidi ya wenyeji wa maeneo hayo.

Mtu alikuwa akisikia jina Dar es Salaam kwanza kabisa kichwani mwake ilikuwa ni lazima ajenge taswira ya mandhari adhimu ya jiji hili na namna anavyoweza kupambana na vijana ngangari wachakarikaji wa enzi hizo ndani ya jiji.

Lakini sasa ni wazi zama zimebadilika na si ajabu mtu kutoka Namanditi au Kayenze ndani ndani kulisikia jina Dar es Salaam na moja kwa moja kichwani kwake ikajengeka picha ya mwanaume aliejifunga kanga kiunoni huku akikatika kama feni mbele ya mwanaume mwenzake tayari kwa kupakuliwa.

Sifa halisia ya jiji hili tukufu imepotezwa na wakazi mazwazwa sasa hivi tunaiongelea Dar ambayo inaendeshwa na majemedari kutoka mikoani wakiwa mashika nyanja muhimu za kiuchumi huku wazawa wa jiji wakiwa kwenye madanguro wakitifuana topee kama wajukuu wa ibilisi.

Dar ambayo baba anaweza kuliwa mama nae akaliwa mtoto naye akaliwa bila kujali jinsia! Dar ambayo vitambi vimekuwa vingi zaidi ya ujauzito na sasa Serikali ya mkoa imeamua kuingia msituni kama Joseph Konyi kuwasaka mashoga katika kila kona ya jiji.

Ni wazi jiji hili tukufu linapita katka moja ya nyakati ngumu kabisa kimaadili.
 
habari mbaya huvuma sana kuliko habari njemaa naam miaka ya nyuma ilikua fahari sana mtu kutambulika kama mwenyej wa dar hasa unapokua katika maeneo mengine hapa nchini tanzagiza huku mbwembwe na mikogo vikitawala dhid ya wenyej wa maeneo hayo .Mtu alikua akisikia jina dar es salaam kwanza kabisa kichwani mwake ilikua ni lazima ajenge taswira ya mandhari adhimu ya jiji hili na namna anavyoweza kupambana na vijana ngangari wachakarikaji wa enzi hizo ndan ya jiji....lakini sas ni wazi zama zimebadilika na si ajabu mtu kutoka namanditi au kayenze ndan ndani kulisikia jina dar es salaam na moja kwa moja kichwani kwake ikajengeka picha ya mwanaume aliejifunga kanga kiunon huku akikatika kama feni mbele ya mwanaume mwenzake tayar kwa kupakuliwa ..Sifa halisia ya jiji hili tukuufu imepotezwa na wakazi mazwazwa sasa hiv tunaiongelea dar ambayo inaendeshwa na majemedari kutoka mikoani wakiwa mashika nyanja muhimu zakiuchumi huku wazawa wa jiji wakiwa kwenye madanguro wakitifuana topee kama wajukuu wa ibilisi .,,dar ambayo baba anaweza kuliwa mama nae akaliwa mtoto naye akaliwa bila kujali jinsia..,,dar ambayo vitambi vimekua vingi zaidi ya ujauzito na sasa serikali ya mkoa imeamua kuingia msituni kama joseph konyi kuwasaka mashoga katika kila kona ya jiji.....niwazi jiji hili tukufu linapita katka moja ya nyakati ngumu kabisa kimaadili.
 
habari mbaya huvuma sana kuliko habari njemaa naam miaka ya nyuma ilikua fahari sana mtu kutambulika kama mwenyej wa dar hasa unapokua katika maeneo mengine hapa nchini tanzagiza huku mbwembwe na mikogo vikitawala dhid ya wenyej wa maeneo hayo .Mtu alikua akisikia jina dar es salaam kwanza kabisa kichwani mwake ilikua ni lazima ajenge taswira ya mandhari adhimu ya jiji hili na namna anavyoweza kupambana na vijana ngangari wachakarikaji wa enzi hizo ndan ya jiji....lakini sas ni wazi zama zimebadilika na si ajabu mtu kutoka namanditi au kayenze ndan ndani kulisikia jina dar es salaam na moja kwa moja kichwani kwake ikajengeka picha ya mwanaume aliejifunga kanga kiunon huku akikatika kama feni mbele ya mwanaume mwenzake tayar kwa kupakuliwa ..Sifa halisia ya jiji hili tukuufu imepotezwa na wakazi mazwazwa sasa hiv tunaiongelea dar ambayo inaendeshwa na majemedari kutoka mikoani wakiwa mashika nyanja muhimu zakiuchumi huku wazawa wa jiji wakiwa kwenye madanguro wakitifuana topee kama wajukuu wa ibilisi .,,dar ambayo baba anaweza kuliwa mama nae akaliwa mtoto naye akaliwa bila kujali jinsia..,,dar ambayo vitambi vimekua vingi zaidi ya ujauzito na sasa serikali ya mkoa imeamua kuingia msituni kama joseph konyi kuwasaka mashoga katika kila kona ya jiji.....niwazi jiji hili tukufu linapita katka moja ya nyakati ngumu kabisa kimaadili.
Mkuu umenichekesha sana. Eti wanaume wa Dar wanatifuana tope na kujivika kanga na kukatika viuno mbele ya wanaume kama feni wakisubiri kupakuliwa. Nacheka hadi nalia.

Ila hii tabia ya ushoga mbaya sana tena kinyaa yani afadhali wizi wa 1.5 T kuliko hii tabia
 
habari mbaya huvuma sana kuliko habari njemaa naam miaka ya nyuma ilikua fahari sana mtu kutambulika kama mwenyej wa dar hasa unapokua katika maeneo mengine hapa nchini tanzagiza huku mbwembwe na mikogo vikitawala dhid ya wenyej wa maeneo hayo .Mtu alikua akisikia jina dar es salaam kwanza kabisa kichwani mwake ilikua ni lazima ajenge taswira ya mandhari adhimu ya jiji hili na namna anavyoweza kupambana na vijana ngangari wachakarikaji wa enzi hizo ndan ya jiji....lakini sas ni wazi zama zimebadilika na si ajabu mtu kutoka namanditi au kayenze ndan ndani kulisikia jina dar es salaam na moja kwa moja kichwani kwake ikajengeka picha ya mwanaume aliejifunga kanga kiunon huku akikatika kama feni mbele ya mwanaume mwenzake tayar kwa kupakuliwa ..Sifa halisia ya jiji hili tukuufu imepotezwa na wakazi mazwazwa sasa hiv tunaiongelea dar ambayo inaendeshwa na majemedari kutoka mikoani wakiwa mashika nyanja muhimu zakiuchumi huku wazawa wa jiji wakiwa kwenye madanguro wakitifuana topee kama wajukuu wa ibilisi .,,dar ambayo baba anaweza kuliwa mama nae akaliwa mtoto naye akaliwa bila kujali jinsia..,,dar ambayo vitambi vimekua vingi zaidi ya ujauzito na sasa serikali ya mkoa imeamua kuingia msituni kama joseph konyi kuwasaka mashoga katika kila kona ya jiji.....niwazi jiji hili tukufu linapita katka moja ya nyakati ngumu kabisa kimaadili.


Watu wa jiji hilo ndiyo wanaopita katika kipindi kigumu na siyo jiji kama unavyosema
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana ila inauma sana hiki kizazi sijui kimekosa nini, nchi imebarikiwa mabinti wazuri mno, pita pande za Babati, Mbulu, Karatu ujionee mabinti wazuri kama wasomali wapo wapo tu hawana wanaume nenda Kondoa, Singida the same. Halafu leo dume zima linakuwa shoga jamani Mungu atunusuru na hili janga.
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana ila inauma sana hiki kizazi sijui kimekosa nini, nchi imebarikiwa mabinti wazuri mno, pita pande za Babati, Mbulu, Karatu ujionee mabinti wazuri kama wasomali wapo wapo tu hawana wanaume nenda Kondoa, Singida the same. Halafu leo dume zima linakuwa shoga jamani Mungu atunusuru na hili janga.
mkuu umesema pande za babati na kondoa mabinti wapo wapo tu??nataman nfke huko mkuu niheli niwe mkaz wa kondoa ama babati ilikusud niondokane na laana hizi.!!!
 
mkuu umesema pande za babati na kondoa mabinti wapo wapo tu??nataman nfke huko mkuu niheli niwe mkaz wa kondoa ama babati ilikusud niondokane na laana hizi.!!!
Mkuu wewe nenda ukafanye kautafiti tena mabinti wapo natural kabisa na wanahitaji kuolewa.
 
Mkuu umenichekesha sana. Eti wanaume wa Dar wanatifuana tope na kujivika kanga na kukatika viuno mbele ya wanaume kama feni wakisubiri kupakuliwa. Nacheka hadi nalia.

Ila hii tabia ya ushoga mbaya sana tena kinyaa yani afadhali wizi wa 1.5 T kuliko hii tabia
 
Makonda awachokonoa mashoga

Kweli Bashite hana kazi. Anashobokea mambo ya hovyoooooo. Hivi Jiwe anapata wapi watu wapuuzi kama hawa jamani?... Eeeh Mola tusaidieee wanaDar.. Ndugu Rais tuondolee 'huyo mtu'
 
Back
Top Bottom