Mtu wa Tanga huyo....hata ku upload picha pengine haijafika huko bado!
Leo Fiesta liko wapi?
Wewe jamaa ni mkundu kweli,ccm wamekuloga,mkundu mkubwa weweee
Elezea vizuri basi.. Unakuwa kaa Nyoso??
😀😀😀!!yani we unachukulia utani huenda tayali mtu uchizizi unamkimbilia ujue......Aisee kimbia hospital fasta kapime huenda malaria imekupanda kichwani
Dah mwaka huu ccm kwisha tanga ndio ilikuwa ngome ya mwisho uwanja umetapika
wamejitokeza kumshuhudia Kibaka mkubwa
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.
Nimepata taarifa kutoka.kwa ndugu yangu aliyekuwepo kwemye mkutano, yeye ni ccm na anasema hajawahi kuona umati ule hadi mkutano ukashindwa fanyika. Taarifa hizi ni za kweli. Tanga mmevunja rekodi. Punguzeni jamani mtaua watu kwa presha hata kabla ya uchaguzi
Wewe jamaa ni mkundu kweli,ccm wamekuloga,mkundu mkubwa weweee
Mkuu naona umeshindwa kujizuia Leo! Pole sana.
inamana wameizidi morogoro?!alafu hii mikoa miwili si ndio ngome ya ccm??!!