Jiji limezizima

Jiji limezizima

Watu wanarud apo ni mbali na,mkutano. Atarii mabomu mpaka yamelia.
Ni shidah. Wa2 4real wamebadilika.
Viva ukawa
 

Attachments

  • 1443454698799.jpg
    1443454698799.jpg
    89 KB · Views: 719
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.

Kafie mbele huko!
 
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.

Aisee kimbia hospital fasta kapime huenda malaria imekupanda kichwani
 
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.
udini at work

Tulijua mtashindwa kukaa kimya, mkizidiwa kabisa huwa mnaanza udini, ukabila na ukanda
 
Duh! Hizi propaganda za kitoto sana. Yaani watu utaweza kuwaondoa ndani ya dakika tano? Hapo umechemka mkuu. Jipange upya

i believe pale walikuepo makada wenzako wa ccm better uulize hao km huamn.......ila ukwel ni kwamba watu walijaa mno mpk akina mama wakaanza kuanguka kwa kukosa hewa so tukaambiwa mkutano umeahirishwa.

watu wengi sana tukaondoka including mimi (ijulikane watu walijaa mpk barabara ya 8 km mwenyej wa tanga utaelewa), lakn nimepigiw simu baada ya watu kupungua mkutano umeendelea
 
Sema ukweli ni kwa nini Lowasa hakuingia uwanjani. Acha sababu za kitoto.

uwanja upi hajaingia Lowasa???? lowasa kapanda jukwaan mara 2,mara ya kwanza alipanda kusalimia na timu yake akarud kuketi.

baada ya sumaye kupanda watu wakasema wanataka kumwona lowasa tena,ikabd apande ndipo akapewa mike akaongea ghafla watu wawil(kina mama) wakaanguka ndo sumaye kaahirisha mkutano.

though nimesikia wameendelea baada ya watu kupungua including mimi nimeondoka
 
Ukisema lowassa mgonjwa au atakufa...omba radhi ,mapema yasije yakakukuta...ohooo...waulizeni wenzenu tayari wapo rip
 
Nimepata taarifa kutoka.kwa ndugu yangu aliyekuwepo kwemye mkutano, yeye ni ccm na anasema hajawahi kuona umati ule hadi mkutano ukashindwa fanyika. Taarifa hizi ni za kweli. Tanga mmevunja rekodi. Punguzeni jamani mtaua watu kwa presha hata kabla ya uchaguzi
 
Duh! Hizi propaganda za kitoto sana. Yaani watu utaweza kuwaondoa ndani ya dakika tano? Hapo umechemka mkuu. Jipange upya

Wewe jamaa ni mkundu kweli,ccm wamekuloga,mkundu mkubwa weweee
 
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.

Naona mmeshaanza na karata ya udini. Mwaka huu ni kifo cha nyani miti yote inateleza. Shame on you kwa kuleta udini
 
Channel Ten wanairusha hiyo habari hivi sasa. Kweli ulivunjika
 
Duh! Hizi propaganda za kitoto sana. Yaani watu utaweza kuwaondoa ndani ya dakika tano? Hapo umechemka mkuu. Jipange upya

Acha utomaso wewe angalia taarifa ya habari, ulitaka yatokee maafa zaidi?
 
wakuu mnakuwa mnabishana bila sababu ya msingi,mi kuna mtu yupo tanga amethibitisha hilo na ametuma picha. inamaana hata nyie hamna ndugu huko tanga. au ndo ubishi tu hapa jamii forum.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom