r tumbwiza
Member
- Jul 28, 2015
- 17
- 10
Hebu eleza vizuri watu wamepunguzwaje? Habari hii ni ya kutumbwiza kama jina lako!!
Duh! Hizi propaganda za kitoto sana. Yaani watu utaweza kuwaondoa ndani ya dakika tano? Hapo umechemka mkuu. Jipange upya
Wamepigwa hawa. Wanaona Magufuli anachanja mbuga wao wanabaki na umbea tuUmbea umbea tu ! Weka picha
Basi tueleze wewe kilichotokeaDuh! Hizi propaganda za kitoto sana. Yaani watu utaweza kuwaondoa ndani ya dakika tano? Hapo umechemka mkuu. Jipange upya
Wamepigwa hawa. Wanaona Magufuli anachanja mbuga wao wanabaki na umbea tu
mkuu sikuhizi usipo tupia picha watu wanakua wagumu kuelewa..japo Mimi nakupata vizuri sana.