Jiji la moto hilii

Lupembe si majirani zao hao

S3ma watu walikuwa wengi sana

Kuna watu wengine kitambo hamjaonana mnaonana msibani
Lei nlionana na swaiba wangu wa kitambo Martin tan rose

Ova
 
Heee ni baba mtoto??? mbona kwenye mazishi tulioyaona huku live huyo mtoto hajatajwa?? Kuna fumbo kubwa hapa. Ila nimewaona baadhi ya watoto wa mjini kwenye msiba nikapiga hesabu zangu 1+1= 2.
Wale wali addopt mtoto tu

Naona mzungu alimuacha masaki huko [emoji1]

Ova
 
Mbna had AR km nilimuonaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo nlibanwa na majukumu, nlitaka niende msibani na mie.
AR ndy nani ttz lako we mwanangu una code ngumu sana,mm uzee unanisogelea ujue [emoji1]

Ova
 
Ahsante ndio ya dunia, generation ya watoto wa mjini wa 90s na mwanzoni mwa 2000s inaisha pia. Ni wakati wa bongo flava huu..Nilikua sijui kumbe yule mtoto wa kuadopt?? but kwanini wafanye kuadopt?? hapo naanza kumuelewa yule mzee alipofuka msibani kua mtoto hawamtambui.Hatarii sana lakini salama.
 
Bongo Somo la kuadopt bado sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…