Jiji la Kigali-Rwanda mwaka 2040...!!!!

Jiji la Kigali-Rwanda mwaka 2040...!!!!

Kulingana na UN-HABITAT, "Growth of African Cities 2010 - 2025, forecast.", Majiji yanayoongoza kwa kukua ni kama ifuatavyo:

1. Dar -es - Salaam[Tanzania]
2. Nairobi[Kenya]
3. Kinshasa[Congo]
4. Luanda [Angola]
5. Addis Ababa[Ethiopia]


Je, kuna lolote mleta mada[uzi] unataka kusema?

ninaamini Dar es Salaam inazidi kukua na itakuja kuwa squatter kubwa kuliko zote duniani....
 
ninaamini Dar es Salaam inazidi kukua na itakuja kuwa squatter kubwa kuliko zote duniani....

Hapo ndipo ubora unapotakiwa kuzingatiwa, na sio quantity.
Rwanda wana mpango wa kuboresha makazi ya watu vijijini..!!
Wenyewe wanasema.." ... HOUSING A FUNDAMENTAL RIGHT FOR EVERY RWANDAN CITIZEN.." ..!!
Na kweli, wanatekeleza....
 
imekaa kisiasa zaidi
Kulingana na UN-HABITAT, "Growth of African Cities 2010 - 2025, forecast.", Majiji yanayoongoza kwa kukua ni kama ifuatavyo:

1. Dar -es - Salaam[Tanzania]
2. Nairobi[Kenya]
3. Kinshasa[Congo]
4. Luanda [Angola]
5. Addis Ababa[Ethiopia]


Je, kuna lolote mleta mada[uzi] unataka kusema?
 
Mkuu wangu Mu-Israeli, kuna jambo moja nataka tuwekane sawa kidogo. Je, lengo la uzi wako ni kuonyesha kwamba majirani wanaweza kuliko sisi au la? Maana imekuwa kawaida ya wabongo wengi kusifia majirani hata kama kuna mambo mengi mabovu..Kama unataka mfano wa kuigwa kuhusu miji tafuta miji mizuri.
-Mfano:
Cape Town
Pretoria.
Windhoek
na miji mingine ya maana..lakini huwezi niambia kwamba Kigali ni bora kuliko Dar, tutapoteza nguvu kubishania vitu visivyo na tija..Inategemea na mtazamo wako lakini. Umetaja Nairobi..I live in Nairobi, je, unajua vizuri Nairobi Mu-Israeli?
-Lete picha za Kibera, Mathare, Kamkunji, na maeneo mengine acha kuweka picha za CBD pekeyake.

Times tower ndo jengo refu Kenya nzima, ambapo PSPF tower itazidi urefu wa "times tower", na bado mji unajengwa ..sijui wataka nisemeje?
 
Why be proud of Rwanda???

Huwezi wewe baba unakaa kila siku unasifu tu watoto wa jirani zako!!!

Je umefika Central Business District (CBD) kule posta ukaona majengo wazuri weye?

Vi vibaya kuwa na tabia ya kujidharau na kutojiamini
 
Sasa wewe unafanya nini kutimiza hayo ambayo unataka yatimie bongo?
 
Mzalendo umesema, Wabongo wanapenda kujidharau sana..hilo pia ni tatizo. Kila kitu mbongo anafikiri anayeweza ni jirani yake. Tembea uone umaskini utatamani kubaki nyumbani. Rwanda ni nchi ndogo kama mkoa wa Dodoma au Singida. Kama unaona Rwanda safi ni sawa na vile ambavyo Moshi au Mwanza wanavyosifika kwa usafi. Mkiwa wachache pia faida.

-Mfano:
Botswana.
Equatorial Guinea.
Namibia.
Shelisheli.

Nimekwambia tembelea SKYSCRAPERCITY kuna mengi ya kujifunza mkuu Mu-Israeli.
 
Mkuu Wandugu Masanja, wewe ndo unaleta siasa, nimekupa 'source', UN-HABITAT, kwani siku hizi UN-HABITAT wanafanya siasa?

UN-HABITAT, ni Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Makazi. Toa orodha yako unayofikiri siyo ya kisiasa.:disapointed::disapointed:
 
Hapo ndipo ubora unapotakiwa kuzingatiwa, na sio quantity.
Rwanda wana mpango wa kuboresha makazi ya watu vijijini..!!
Wenyewe wanasema.." ... HOUSING A FUNDAMENTAL RIGHT FOR EVERY RWANDAN CITIZEN.." ..!!
Na kweli, wanatekeleza....

wacha wajenge...wamekuja wamekwiba MKUKUTA wetu na wanautekeleza....sisi tunaendelea kuichekea CCM

kama ni ubora....Nairobi leads
 
Dar iko mbali sana usilinganishe na wilaya ..Rwanda...
 
Nairobi leads what Utingo?

Kuhusu Rwanda, data za IMF, zinaonyesha kwamba GDP ya Rwanda ni dola bilioni 6, idadi ya watu ni milioni 10. So waweza kuelewa faida ya kuwa na watu wachache kwa nchi kama Rwanda. Tanzania GDP ni dola bilioni 28.

Nimeomba mtu aniwekee picha za Kibera, Mathare, Kamkunji..vitongoji vya Nairobi hamtaki..?
 
Pilau mkuu wewe una akili sana!Hata siwaelewi wakuu mapovu ya nini kushindanisha Dar na Rwanda?
Rwanda nzima wanategemea ngano ya Azam, mwekezaji mkubwa nchini Rwanda.
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Morogoro!

Unajua ukichukua eneo la Rwanda, Burundi, Uganda and kenya kwa pamoja bado Tz tuna elneo kubwa zaidi? Halafu idadi wa watu Kenya (40m) ni karibu sawa na Tz (45m)!

Tz has a potential to perform better.. kidogo2 tunaanza kuamka ndo maana kila jirani anataka kuwa rafiki na Tz!
 
Jiji la Kigali - Rwanda litaonekana kama hivi mwaka 2040..!!!

Vipi Tanzania tutaonekanaje ..????

16159_1_kigali1.jpg


kigali-city-tour.jpg


kigali-masterplan-1.jpg
 
Mzalendo umesema, Wabongo wanapenda kujidharau sana..hilo pia ni tatizo. Kila kitu mbongo anafikiri anayeweza ni jirani yake. Tembea uone umaskini utatamani kubaki nyumbani. Rwanda ni nchi ndogo kama mkoa wa Dodoma au Singida. Kama unaona Rwanda safi ni sawa na vile ambavyo Moshi au Mwanza wanavyosifika kwa usafi. Mkiwa wachache pia faida.

-Mfano:
Botswana.
Equatorial Guinea.
Namibia.
Shelisheli.

Nimekwambia tembelea SKYSCRAPERCITY kuna mengi ya kujifunza mkuu Mu-Israeli.

Yes, Mkuu..
Hapa changamoto yetu sisi Tanzania ni ukosefu wa uzalendo.
Tungekuwa na uzalendo na nchi yetu, tungekua tumeendelea kuliko South Africa.
Maendeleo ni nini..??
Maendeleo ni kuboresha maisha ya watu, yaani watu wapate barabara nzuri, hospitali nzuri, maji safi, umeme wa kutosha, shule nzuri, reli nzuri zinazofanya kazi, n.k.

Kwa utajiri wetu sisi Tanzania, tungetakiwa kuwa navyo vyote hivyo na zaidi...!! (Right..??)..
Sasa viko wapi ??
Yaani tunashindwa na nchi'maskini' kama Kenya...!!(Hawana utajiri kama sisi)..
Yaani tunashindwa na nchi 'maskini' kama Rwanda ...(Hawana utajiri kama sisi)... n.k.

Tanzania sisi hata reli ambayo tulisha jengewa na wakoloni, tumeshindwa kuitunza tu...!!!
Viwanda tumeshindwa kuvutunza tu...!!!!
Utajiri tumeshindwa kuutumia tu..!!

Hapo ndipo ninapoungana mkono na Paul Kagame (Rais wa Rwanda), pale aliposema kuwa .'...akipewa bandari ya Dar aiendeshe kwa miaka saba tu, ataigeuza Dar kuwa kama Dubai...!!!' (kwa kutumia mapato ya bandari tu..!!!)

Wa-Tanzania tupo hapo...????
 
lakini ukuaji wanaoongelea sio strategic, unabase zaid kwenye quantity na sio ajabu miji kama Dar es Salaam unajenga jengo moja zuri kwenye 100sq meter wakati slums zinaonezeka kwa 100,000sq meters tofauti na kinachoonyeshwa kwenye picha. Kweli unataka tuiite hii kuwa ni growth!
Kulingana na UN-HABITAT, "Growth of African Cities 2010 - 2025, forecast.", Majiji yanayoongoza kwa kukua ni kama ifuatavyo:

1. Dar -es - Salaam[Tanzania]
2. Nairobi[Kenya]
3. Kinshasa[Congo]
4. Luanda [Angola]
5. Addis Ababa[Ethiopia]


Je, kuna lolote mleta mada[uzi] unataka kusema?
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Morogoro!

Unajua ukichukua eneo la Rwanda, Burundi, Uganda and kenya kwa pamoja bado Tz tuna elneo kubwa zaidi? Halafu idadi wa watu Kenya (40m) ni karibu sawa na Tz (45m)!

Tz has a potential to perform better.. kidogo2 tunaanza kuamka ndo maana kila jirani anataka kuwa rafiki na Tz!

Hapo kwenye blue, ongezea yafuatayo...
  • Tanzania tuna utajiri mkubwa zaidi ya wote hao kwa pamoja (all of them put together)..!!
  • Tanzania tulitakiwa tuwe tumeendelea zaid kuliko hao wote kwa pamoja...!!
  • Tanzania tulitakiwa tuwe tumeendelea sana kuliko South Africa...!!
 
Kule posta (CBD) mbona tayari kuna majumba marefu na mazuri kuliko haya??

Nadhani muungwana anaongelea zaidi kwenye USAFI na sio urefu wa maghorofa. Dar kuna maghorofa marefu hayana Parking na maji watu wanapandisha kwa ndoo tena hayana lift. Pita kariakoo utaona.

Ila Dar 2040 itakuwa imetapakaa kinyesi kila kona kwani saa hivi tu kwa population iliyopo wameshindwa kumanage sewage so by 2040 tegemea mavi kila kona. Mfano halisi tembea kutoka Kijitonyama Sayansi hadi Chuo Cha Ustawii wa Jamii uone panavyonuka, utadhani mvua ya mavi imenyesha.

Dar ni chafu mno wajamaeni,
 
na mtu akija akakwambia kuwa Tanzania ni kubwa kijiografia kuizidi Uingereza (sitasema Uholanzi) utasemaje!? Ukubwa wa nchi ambayo ndio tafsiri ya maendeleo ni bongo za watu wake na sio mbuga za serengeti, Ruaha, Mlima Kilimanjaro, Bagamoyo, Chalinze nk!
Rwanda ni kama Mkoa wa Morogoro!

Unajua ukichukua eneo la Rwanda, Burundi, Uganda and kenya kwa pamoja bado Tz tuna elneo kubwa zaidi? Halafu idadi wa watu Kenya (40m) ni karibu sawa na Tz (45m)!

Tz has a potential to perform better.. kidogo2 tunaanza kuamka ndo maana kila jirani anataka kuwa rafiki na Tz!
nilipokuwa huko nilipitia eneo la posta mpya kwenye kituo cha mafuta cha Oryx, Hiedery Plaza pale, kuna hadi migahawa lakini hivyo vinyesi vinavyotiririka barabarani niliona ni bora ya hapa kwetu kisiwani!
Nadhani muungwana anaongelea zaidi kwenye USAFI na sio urefu wa maghorofa. Dar kuna maghorofa marefu hayana Parking na maji watu wanapandisha kwa ndoo tena hayana lift. Pita kariakoo utaona.
Ila Dar 2040 itakuwa imetapakaa kinyesi kila kona kwani saa hivi tu kwa population iliyopo wameshindwa kumanage sewage so by 2040 tegemea mavi kila kona. Mfano halisi tembea kutoka Kijitonyama Sayansi hadi Chuo Cha Ustawii wa Jamii uone panavyonuka, utadhani mvua ya mavi imenyesha.
Dar ni chafu mno wajamaeni,
 
Nairobi leads what Utingo?

Kuhusu Rwanda, data za IMF, zinaonyesha kwamba GDP ya Rwanda ni dola bilioni 6, idadi ya watu ni milioni 10. So waweza kuelewa faida ya kuwa na watu wachache kwa nchi kama Rwanda. Tanzania GDP ni dola bilioni 28.

Nimeomba mtu aniwekee picha za Kibera, Mathare, Kamkunji..vitongoji vya Nairobi hamtaki..?

Picha hizo hapo .... Kibera....

1-Kibera%20Slum.JPG


kibera-slums-2.jpg
 
Back
Top Bottom