Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Jiji la Kigali - Rwanda litaonekana kama hivi mwaka 2040..!!!
Vipi Tanzania tutaonekanaje ..????
Vipi Tanzania tutaonekanaje ..????
Raisi ataendelea kua Kagame?
Ni jambo la kheri...ila naona 2040 ni mbali sana, sasa sijui ni jambo gani linalowazuilia kuwa hivyo ndani ya 10 ijayo au pungufu
Kulingana na UN-HABITAT, "Growth of African Cities 2010 - 2025, forecast.", Majiji yanayoongoza kwa kukua ni kama ifuatavyo:
1. Dar -es - Salaam[Tanzania]
2. Nairobi[Kenya]
3. Kinshasa[Congo]
4. Luanda [Angola]
5. Addis Ababa[Ethiopia]
Je, kuna lolote mleta mada[uzi] unataka kusema?
ndoto tu hizo. mpango sio matumizi.
dasalam by 2040 itakuwa kama unavo-iona ila KIGAMBONI ITAKUWA BALAAA MARA 100 YA KIGALI YA 2040...TAFUTA PICHA ZA KIGAMBONI MPYA KISHA FANYA PROJECTIONS UTANIAMBIA...
TZ itakuwa zaidi ya hapo
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Maendeleo yasiyokuwa ya watu yatakuja kuwapendeza wataalamu wa historia wa mwaka 3000