tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Saa hizi kupata kiwanja dar ni shida kweli, duh enzi hizo pengine huku kwetu g/mboto ni pori zito!
Huo mwaka na camera, mmmm!
Kwa 1887 g/mboto mbali sana yaani ilala hupiti peke yako ni simba na chui wa kumwaga.
Dar ya miaka ya 1800s, bado ni nzuri kuliko Monduli ya 2015 ingawa Monduli ina mwanasiasa tajiri kuliko wote nchini waliowahi kuwepo kwenye historia ya Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Mzee wa UFISADI PAPA, JENEZA LINALOTEMBEA, EDWARD LOWASSA.
Hili ni eneo la Kivukoni kama unatokea Posta ya Zamani kuelekea ferry. Hapo kushoto ni jengo ilipo sasa ofisi za Takwimu za taifa. Mbele kdg juu kuna wizara ya Ardhi.
Dar ya miaka ya 1800s, bado ni nzuri kuliko Monduli ya 2015 ingawa Monduli ina mwanasiasa tajiri kuliko wote nchini waliowahi kuwepo kwenye historia ya Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Mzee wa UFISADI PAPA, JENEZA LINALOTEMBEA, EDWARD LOWASSA.
Kwa 1887 g/mboto mbali sana yaani ilala hupiti peke yako ni simba na chui wa kumwaga.