Jiji la Dar es Salaam mwanzoni 1887

Jiji la Dar es Salaam mwanzoni 1887

Dar ya miaka ya 1800s, bado ni nzuri kuliko Monduli ya 2015 ingawa Monduli ina mwanasiasa tajiri kuliko wote nchini waliowahi kuwepo kwenye historia ya Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Mzee wa UFISADI PAPA, JENEZA LINALOTEMBEA, EDWARD LOWASSA.



duu! Aisee ww kweli ni Kubwajinga
 
Last edited by a moderator:
Dar ya miaka ya 1800s, bado ni nzuri kuliko Monduli ya 2015 ingawa Monduli ina mwanasiasa tajiri kuliko wote nchini waliowahi kuwepo kwenye historia ya Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Mzee wa UFISADI PAPA, JENEZA LINALOTEMBEA, EDWARD LOWASSA.


Hapo kwa RED ​VP WEWE UTAISHI MILELE NINI ?????????
 
Hapo kwa RED ​VP WEWE UTAISHI MILELE NINI ?????????


KJ wa JF hagombei uraisi na Afya yake haiathiri taifa. Lakini JENEZA LINALOTEMBEA, Edward Lowaassa, afya yake ni muhimu kwa Taifa kama mgombea.

LOWASSA Hatufai, ni FISADI na Afya Yake ni MBOVU.
 
Dar ya miaka ya 1800s, bado ni nzuri kuliko Monduli ya 2015 ingawa Monduli ina mwanasiasa tajiri kuliko wote nchini waliowahi kuwepo kwenye historia ya Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Mzee wa UFISADI PAPA, JENEZA LINALOTEMBEA, EDWARD LOWASSA.



Sorry mkuu mpe kashfa Zote ila usimkebehi mtu kwa ugonjwa ,hujafa hujaumbika.
 
duu! Aisee ww kweli ni Kubwajinga


Nyani haoni kundule. Huwezi kumshabikia Kubwajinga = Lowassa kama wewe mwenyewe sio Mjinga.

FISADI LOWASSA hatumtaki kuwa kinara wa BOT yetu, Mafuta na Gesi zetu, Dhahabu yetu n.k. Hatutaiweka nchi rehani ili kulipia UFISADI wa LOWASSA.

MAGUFULI-4-CHANGE (M4C) = 65%

LOWASSA = FISADI PAPA = 22%

 
Nyani haoni kundule. Huwezi kumshabikia Kubwajinga = Lowassa kama wewe mwenyewe sio Mjinga.

FISADI LOWASSA hatumtaki kuwa kinara wa BOT yetu, Mafuta na Gesi zetu, Dhahabu yetu n.k. Hatutaiweka nchi rehani ili kulipia UFISADI wa LOWASSA.

MAGUFULI-4-CHANGE (M4C) = 65%

LOWASSA = FISADI PAPA = 22%


Si mbuni kaulimbiu zenu, mbona mnakazania sana M4C? Mmeshikwaje pabaya?
 
Dar ya miaka ya 1800s, bado ni nzuri kuliko Monduli ya 2015 ingawa Monduli ina mwanasiasa tajiri kuliko wote nchini waliowahi kuwepo kwenye historia ya Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Mzee wa UFISADI PAPA, JENEZA LINALOTEMBEA, EDWARD LOWASSA.


Umekuja na huku sio. Haya huyo mbunge wenu marehemu, aliwezaje kuwa mbunge kumbe mgonjwa, haya na lile jitu kubwa, paniki ndogo tu kamba ikakatika, na miafya yake. Sikia Kubwajinga kinachoua si ugonjwa, kinachoua ni kifo, unaweza ukamcheka mgonjwa, wewe mzima ukafa ukamwacha, hao mahujaji waliokufa nao walikuwa wagonjwa?

SASA KWA JEURI ZAKO SIKU YA UCHAGUZI UTAKUWA MGONJWA MAHUTUTI HOSPITAL UKIHARISHA KWA KIPINDUPINDU, NA UKICHEZA UNAVUTA KABLA LOWASA HAJAAPISHWA.
 
Sorry mkuu mpe kashfa Zote ila usimkebehi mtu kwa ugonjwa ,hujafa hujaumbika.

HAKEBEHWI mtu, bali tunaweka wazi hali ya mtu, LOWASSA, anayeng'ang'ania kuingia kwenye ofisi ambayo afya yake mbaya hairuhusu.
 
Si mbuni kaulimbiu zenu, mbona mnakazania sana M4C? Mmeshikwaje pabaya?

Ukiwa Mbunifu, Maji Ya Ukwaju Anayochezea Mwenzako Wewe Watengenesa 'Ice Cream' na Kuwauzia Waliokuwa Wanayachezea Hapo Awali.

MC4 = Magufuli For Change = Mabadiliko Halisi

CPHMCA8XAAEBDm6.jpg
 
Mwanzoni mwa miaka ya 80 nakumbuka msasani aliuwawa kiboko, mikocheni ilikuwa pori la mikorosho,kawe ilikuwa msitu simba wananguruma,masaki waliita kichanga chui kulikuwa na chui zamani
 
Nakumbuka mwaka huo maeneo hayo kulikuwa na kigoli namfukuzia
 
Wabongo wanakawaida ya kuchanganya mambo mtu ameweka picha ya mwaka 1887. Na amefanya vizuri lakini mtu anaanza kuleta habari za lowasa eti sijui anaumwa
Wabongo tujifunze kila kitu kina mahali pake
Na ndio maana lowasa akasema kipaumbele chake ni elimu hii inaweza kuwasaidia wabongo kutofautisha mambo.
 
Back
Top Bottom