The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
wos, si ustadi bali ni takwimu. Namba hazidanganyi. Serial killers wengi usa ni wazungu na armed robbers wengi ni weusi. Na hii haimaanishi hakuna serial killers weusi au armed robbers weupe. Kwa hiyo panapotokea uhalifu wa kitu fulani nadhani ni kawaida ya binadamu kudhania kuwa mhalifu ni mmoja wa walewale usual suspects wakati si mara zote lazima iwe hivyo.
Chukulia huu mfano, ukisikia sasa hivi tawi la benk ya exim pale namanga karibu na best bite limevamiwa na kuporwa na majambazi si ajabu moja kwa moja ukadhania majambazi hayo ni wanaume tena wa kiafrika wakati inaweza ikawa ni wanawake wa kihindi.
Ila kwa law enforcement agency yoyote ile iliyo makini hawawezi kum-rule out yeyote yule au kundi lolote lile hadi mtuhumiwa atakapopatikana.
watu weusi huwa wanajisifia kuwa wakifanya uhalifu ni sababu wana shida
but wazungu they are crazy.......