Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,204
- 40,641
Nasisi wa ungo saiz tunapata tabu sana angani
Al qaeda mtawajua tu. Mtu gani anasafiri na Oman Air? Lazima mzuiweNapenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha
mm Pia kuna siku nilikuwa na haraka ya safari nikakuta mashirika ya ajabu ajabu kina Oman air,air Jordan,fly Dubai nikachukua angalau Malaysian airlinesAl qaeda mtawajua tu. Mtu gani anasafiri na Oman Air? Lazima mzuiwe
Lazima ipo sababu tuNapenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha
Uweke huo ushaidi !! Siio kutupigia porojoNina ushahidi salimia 100 siku hao watz wanazuiwa kubadilisha Ndege kwenda London nilikuwepo hapo airport Gate A6
Aliomba apewe kwa maandishi /barua sababu za yeye kukataliwa kupanda ndege walikataaLazima ipo sababu tu
Napenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha
hii issue sio ya kutunga Kwa nia ya kuwachafua Oman air,alinunua hapa Dar to Muscat then Muscat to London,na Kwa taarifa tulinazo kesho yake kuna watz wengine wawili pia wazuiwa kupanda hiyo Ndege kuelekwa nchi za ulaya siongei kitu cha kubahatisha ninao ushahidi kwani siku hiyo nilikuwepo wakati huyo mtanzania anazuiwa akawaomba wampe sababu Kwa maandishi wakagoma,Hii habari inatitia wasiwasi ukweli wake kwani sio kitu cha kawaida. Kwa kuwa naelewa mambo ya ndege kwa kiasi;
Naomba kujua yafuatayo;
1. Alibook ticket moja (through Ticket) kuanzia Dar hadi London?
2. Na kama alibook ticket mbili tofauti, Moja kwenda Dubai na nyingine kuunganisha kwenda London sababu ilikuwa ni nini?
3. Je Alibook shirika moja la Ndege, nina maana ndege za Oman Air kuanzia Dar hadi Lodon?
4. Alikuwa na ticket inayo muonesha anasafiri kwa ndege ya Oman Air kutoka Dar hadi Oman
5. Wakati wa kubook Aliangalia muda wa kusubiri kabla ya kuunganisha; yaani muda gani atasubiri Dubai hadi kuunganisha ndege ya kwenda London? Isije kuwa alibook ndege ya bei poa ya kuunganisha siku inayo fuata???
6. Mwisho natamani nioni hiyo ticket yake (Dar to London)
Nikipata hayo majibu kwa usahihi nitaweza kujua tatizo lilikuwa nini
Ila huu ndio wakati wa ndege yetu pendwa - Tanzania Dream Liner kutake over!
Unawaachiaje mashekhe wanaoeneza chuki na ugaidi?Umebugia kilo ya unga halafu una Diplomatic Passport unategemea nini..just kidding waachieni mashekhe wao mnaowatesa kila siku huko Gerezani.
Wale wachungaji waliokuwa wanaeneza chuki dhidi ya Kikwete je?!Unawaachiaje mashekhe wanaoeneza chuki na ugaidi?
Wale wachungaji waliokuwa wanaeneza chuki dhidi ya Kikwete je?!
Acheni uonezi kwanza kisiwa hicho ni cha kwao nyinyi wengine mlipelekwa kitumwa kutoka Congo na malawii
Bado hizo sababu zako hazijitoshelezi; Nakuomba ujibu kila swali nililo ulizahii issue sio ya kutunga Kwa nia ya kuwachafua Oman air,alinunua hapa Dar to Muscat then Muscat to London,na Kwa taarifa tulinazo kesho yake kuna watz wengine wawili pia wazuiwa kupanda hiyo Ndege kuelekwa nchi za ulaya siongei kitu cha kubahatisha ninao ushahidi kwani siku hiyo nilikuwepo wakati huyo mtanzania anazuiwa akawaomba wampe sababu Kwa maandishi wakagoma,
Kama angekuwa punda Oman wangemwacha?LABDA NI PUNDA
nilidhani dawa ni kupanda Dream-liner na bombardier zetu.